Nahreel aitaja siri ya mafanikio ya Navy Kenzo
Ili msanii aweze kufanya kazi nzuri anahitaji kuwa na timu nzuri na iliyokamilika kwenye kila idara. Ndio maana kundi la Navy Kenzo linaloundwa na couple ya producer Nahreel na Aika wamegundua hitaji la kuwa na timu, na huenda ndio sababu kuna mabadiliko makubwa katika show zao, video zao na muziki wao kwa ujumla kwasababu hivi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo512 Oct
Kufanya kazi nzuri ndio siri ya mafanikio yetu — Navy Kenzo
9 years ago
Bongo510 Nov
Nahreel aeleza maana ya ‘Above In A Minute’ ambayo husikika kwenye nyimbo za Navy Kenzo
![Nahreel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/04/Nahreel-200x200.jpeg)
Ukisikiliza baadhi ya nyimbo za kundi la Navy Kenzo ikiwemo ‘Game’ kuna maneno wanapenda kuyasema, “Above In A Minute”, lakini inawezekana hujui ni kwasababu gani wanapenda kuyatumia au yana maana gani kwao.
Mbali na nyimbo, hata post zao za mitandao ya kijamii, Nahreel na aika huwa wanaweka hashtag ya #AboveInAMinute kwenye post zao nyingi.
Mwimbaji wa Navy Kenzo ambaye pia ni producer wa The Industry, Emmanuel Mkono maarufu kama Nahreel amesema kuwa “ABOVE IN A MINUTE” ni jina la...
9 years ago
Bongo505 Oct
Umoja uliopo kati ya Weusi, Navy Kenzo, Vanessa na Jux haukupangwa — Nahreel
10 years ago
Bongo525 Nov
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Navy Kenzo gumzo Nigeria
NA CHRISTOPHER MSEKENA
KUNDI la Navy Kenzo linaloundwa na wapenzi, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ na Aika Mareale ‘Aika’ limekuwa gumzo nchini Nigeria kutokana na wimbo wao wa ‘Game’ waliomshirikisha Vanessa Mdee kupigwa mara kwa mara katika redio na televisheni za huko.
Nahreel alisema amekuwa akipokea simu kutoka kwa watangazaji wa vituo mbalimbali vya redio na runinga vya nchini humo kwa ajili ya mahojiano, huku wengine wakimpongeza kwa wimbo huo unaofanya vizuri nchini humo.
“Wanadai ‘audio’...
11 years ago
Bongo510 Jul
New Video: Navy Kenzo — Chelewa
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Navy Kenzo wagombewa kimataifa
NA SHARIFA MMASI
PRODYUZA na msanii wa Bongo Fleva, Nahreel na Aika Mareale, wanaounda kundi la Navy Kenzo, wamesema wamepokea maombi ya idadi kubwa ya wasanii wa kimataifa wanaotaka kufanya nao kazi.
Nareal alisema kwamba, maombi hayo kutoka kwa wasanii hao ambao hakutaka kuwaweka wazi kwa kuwa bado hawajakamilisha makubaliano yao yametokana na kufanya vizuri kwa video ya wimbo wao wa ‘Game’ waliomshirikisha Vanessa Mdee.
Nahreel aliongeza kwamba, video ya wimbo huo imekuwa ikichezwa katika...
11 years ago
GPLNAVY KENZO WATINGA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
GPL30 Nov