Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Naibu Kadhi awa Kaimu Mufti

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limemtangaza Naibu Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally kukaimu nafasi ya mufti na sheikh mkuu.Uteuzi huo unatokana na kifo cha Mufti Issa Shaaban Bin Simba siku saba zilizopita.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mufti Z’bar afunguka Mahakama ya Kadhi

>Ofisi ya Mufti Zanzibar imesema haikuwa mwafaka Serikali kuunyofoa muswada wa kuanzisha Mahakama ya Kadhi uliokuwa uwasilishwe bungeni, ili yafanyike maridhiano kwanza.

 

10 years ago

TheCitizen

Z’bar Mufti’s office wants Kadhi Court

>The office of the Mufti here has criticised the withdrawal of the Kadhi Court Bill from the  Union Parliament, saying it was a blow to efforts to achieve national consensus on the contentious issue.

 

10 years ago

CloudsFM

Kaimu Mufti akutana na rais Kikwete ikulu.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila. aimu mufti mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry amekutana na Rais Kikwete ikulu jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imebanisha kuwa sheikh...

 

10 years ago

GPL

SHEIKH ABUBAKARI BIN ALLY ATEULIWA KAIMU MUFTI

Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa nje ya ofisi ya Bakwata baada ya kumalizika uteuzi huo. Mkuu wa Islamic Social Services Development Center, Sheikh Hassan Chizenga, akihojiwa na wanahabari.…

 

10 years ago

CloudsFM

Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally achaguliwa kuwa Kaimu Mufti.

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limemtangaza Naibu Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally kukaimu nafasi ya mufti na sheikh mkuu.
Uteuzi huo unatokana na kifo cha Mufti Issa Shaaban Bin Simba siku saba zilizopita.

Akizungumza jana na waandishi wa habari, katibu mkuu wa Bakwata, Suleiman Lolila alisema uchaguzi wa kumpata kaimu mufti ulifanywa kwa siku saba tangu kufariki kwa Mufti Simba.

Mufti Simba alifariki dunia Juni 15, mwaka huu katika hospitali ya TMJ jijini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu Jijini Dar

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam jana.

mu2

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila  Ikulu jijini Dar es salaam.

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza  Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam. mu4

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA KAIMU MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBEIRY IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam leo.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila  Ikulu jijini Dar es salaam leo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza  Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam leo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanyemba awa naibu meya

DIWANI wa Kata ya Viwandani Jaffari Mwanyemba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amechaguliwa kuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani