Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanyemba awa naibu meya

DIWANI wa Kata ya Viwandani Jaffari Mwanyemba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amechaguliwa kuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

CCM yanyakua viti vya Mstahiki Meya na naibu Meya Halmashauri ya Manisspaa ya Singida

IMG_1325

Diwani wa kata ya Mughanga (CCM) manispaa ya Singida, Velerian Kimambo, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa,Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa, (16/12/2015), wamekula viapo rasmi tayari kuanza kuwatumikia wananchi.

IMG_1287

Diwani wa kata ya Mitunduruni (CHADEMA) manispaa ya Singida, Velerian Pantaleo Mastiko Sorongai, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa, Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa wamekula viapo rasmi tayari...

 

10 years ago

Mwananchi

Naibu Kadhi awa Kaimu Mufti

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limemtangaza Naibu Kadhi Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally kukaimu nafasi ya mufti na sheikh mkuu.Uteuzi huo unatokana na kifo cha Mufti Issa Shaaban Bin Simba siku saba zilizopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Naibu Meya apanda kizimbani

NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelos, Ephata Nanyaro, wote kutoka CHADEMA, wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kumshambulia mgambo wa jiji, William Mollel....

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Naibu Meya, Diwani watinga kizimbani


NA LILIANI JOEL,ARUSHA
Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe (CHADEMA) na  Mwenyekiti wa chama hicho wilaya ya Arusha, Efata Nanyaro, jana walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, kujibu shitaka la kudhuru mwili.
Awali, viongozi hao ambao pia ni madiwani wa Jiji la Arusha, walifikishwa katika mahakama hiyo saa 3.05 asubuhi na kukalishwa eneo maalumu, lakini ghafla waliamriwa kukabidhi vifaa vyao pamoja na fedha kwa watu wao wa karibu na kuswekwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Barua ya kiofisi yamwokoa Naibu Meya

NAIBU Meya wa Arusha, Prosper Msofe, amewasilisha mahakamani barua ya kusaini mkataba kati ya Tanzania na Singapore juu ya uandaaji wa mpango wa majiji ya Arusha na Mwanza ili kushawishi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama yamfutia kesi Naibu Meya Arusha

MAHAKAMA imeifutilia mbali kesi ya kumshambulia mgambo iliyokuwa ikiwakabili Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa levelos, Ephata Nanyaro, (CHADEMA). Uamuzi huo uliopokelewa kwa shangwe na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Naibu Meya na Diwani wa Levolosi wapokea kichapo

02052010506

Na Mahmoud Ahmad Arusha

Naibu Meya wa jiji la Arusha Prosper Msofe na diwani wa kata ya Levolosi Ephatar Nanyaro wamepokea kichapo kutoka kwa mgambo wa halmashauri ya jiji la Arusha kwenye yadi ya halmashauri hiyo iliyopo kwenye kata ya Levolosi jijini hapa.

Kadhia hiyo iliyowakuta madiwani hao waliokuwa wakifuatilia malalamiko ya wananchi hususani wafanyabiashara ndogondogo (Almaarufu machinga) waliokuwa wakilalamikia kunyanganywa mali zao na mgambo hao  na kupekea vichapo kila...

 

11 years ago

Habarileo

Naibu Meya, diwani kizimbani kwa shambulio

NAIBU Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe (48) na Diwani wa kata ya Levolosi, Ephata Nanyaro (28) leo walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha/Arumeru, kujibu mashitaka ya shambulio la kudhuru mwili wa askari mgambo wa Jiji William Mollel.

 

9 years ago

StarTV

Meya Mwanza, Naibu wafanya ziara ya kushtukiza Hospitali Ya Wilaya Nyamagana

 

Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza na Naibu wake wamefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya wilaya ya Nyamagana kuangalia suala la utoaji huduma za afya kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo.

Ziara hiyo imefanyika siku chache baada ya James Bwire diwani wa kata ya Mahina kuchaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza akilenga kuunga mkono kauli ya Rais John Magufuli ya Hapa Kazi Tu.

 Hospitali ya wilaya ya Nyamagana inayohudumia takribani wagonjwa 300 kwa siku ikiwa ni tegemeo kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani