Naibu Meya, diwani kizimbani kwa shambulio
NAIBU Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe (48) na Diwani wa kata ya Levolosi, Ephata Nanyaro (28) leo walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha/Arumeru, kujibu mashitaka ya shambulio la kudhuru mwili wa askari mgambo wa Jiji William Mollel.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Naibu Meya, Diwani watinga kizimbani
NA LILIANI JOEL,ARUSHA
Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Prosper Msofe (CHADEMA) na Mwenyekiti wa chama hicho wilaya ya Arusha, Efata Nanyaro, jana walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, kujibu shitaka la kudhuru mwili.
Awali, viongozi hao ambao pia ni madiwani wa Jiji la Arusha, walifikishwa katika mahakama hiyo saa 3.05 asubuhi na kukalishwa eneo maalumu, lakini ghafla waliamriwa kukabidhi vifaa vyao pamoja na fedha kwa watu wao wa karibu na kuswekwa...
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Naibu Meya na Diwani wa Levolosi wapokea kichapo
Na Mahmoud Ahmad Arusha
Naibu Meya wa jiji la Arusha Prosper Msofe na diwani wa kata ya Levolosi Ephatar Nanyaro wamepokea kichapo kutoka kwa mgambo wa halmashauri ya jiji la Arusha kwenye yadi ya halmashauri hiyo iliyopo kwenye kata ya Levolosi jijini hapa.
Kadhia hiyo iliyowakuta madiwani hao waliokuwa wakifuatilia malalamiko ya wananchi hususani wafanyabiashara ndogondogo (Almaarufu machinga) waliokuwa wakilalamikia kunyanganywa mali zao na mgambo hao na kupekea vichapo kila...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Naibu Meya apanda kizimbani
NAIBU Meya wa Jiji la Arusha, Prosper Msofe na Diwani wa Kata ya Levelos, Ephata Nanyaro, wote kutoka CHADEMA, wamefikishwa mahakamani kwa kosa la kumshambulia mgambo wa jiji, William Mollel....
10 years ago
GPL
MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA SHAMBULIO LA GARRISA KUPANDISHWA KIZIMBANI LEO
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Diwani Kata ya Ubungo kizimbani kwa kujeruhi
10 years ago
StarTV18 Sep
Diwani CHADEMA Ubungo kizimbani kwa makosa mawili
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imempandisha Kizimbani Diwani wa Kata ya Ubungo Kisiwani kwa tiketi ya Chama cha Demokrasi na Maendeleo CHADEMA Boniphace Jacob kwa makosa mawili la kwanza likiwa ni kumshambulia Mwandishi wa Habari wa Gazeti wa Uhuru Christopher Lissa.
Kosa la pili analokabiliwa nalo ni kuharibu Kamera ya Picha Mnato aina ya Nicon yenye thamani ya Shilingi Milioni Nane, Mali ya Kampuni ya Uhuru Publisher Limited.
Katika Kesi hiyo Wakili wa Serikali,...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
CCM yanyakua viti vya Mstahiki Meya na naibu Meya Halmashauri ya Manisspaa ya Singida
Diwani wa kata ya Mughanga (CCM) manispaa ya Singida, Velerian Kimambo, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa,Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa, (16/12/2015), wamekula viapo rasmi tayari kuanza kuwatumikia wananchi.
Diwani wa kata ya Mitunduruni (CHADEMA) manispaa ya Singida, Velerian Pantaleo Mastiko Sorongai, akiapa mbele ya hakimu wa mahakama ya mwanzo mjini hapa, Zakaria Simoin. Madiwani 26 wa halmashauri ya manispaa wamekula viapo rasmi tayari...
5 years ago
Michuzi
DIWANI KATA YA KIJICHI KIZIMBANI KWA TUHUMA ZA KULA RUSHWA

DIWANI wa Kata ya Kijichi halmashauri ya Manispaa wa Temeke kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Elias Mtarawanje (29), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kupokea rushwa ya Sh. Milioni moja kutoka kwa Yusuf Omary.
Diwani huyo amefikishwa mahakamani...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Meya Manispaa ya Tabora apandishwa kizimbani Baraza la Maadili kwa matumizi mabaya ya madaraka na kutoa Tamko la uongo la mali zake.