NAIBU SPIKA AKABIDHIWA TUZO NA BARAZA LA WATU WANAOISHI NA VIRUSI VYA UKIMWI NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-UxdX9JNxALI/XoXXnD4roVI/AAAAAAALl1w/tNCk00jUJE44WkVLPwIGfVgbhAn3ZMPOgCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC-1AAA-768x531.jpg)
Naibu Spika Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akipokea tuzo maalum ya kuthamini mchango wake katika kupambana na Ukimwi na Kifua kikuu nchini iliyotolewa na Chama cha Watu wanaoishi na Virusi vya Ukimwi nchini (NACOPHA) na kukabidhiwa kwake na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya masuala ya Ukimwi Mheshimiwa Oscar Mukasa hii leo Jijini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zCzcUUJVYuw/Xp7K81X-dmI/AAAAAAALntI/q8YYgeMRkyUnrQy070h1gL-DZyP4aZw5wCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic-3-aAA-768x578.jpg)
SPIKA JOB NDUGAI AKABIDHIWA MASHINE MAALUM YA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zCzcUUJVYuw/Xp7K81X-dmI/AAAAAAALntI/q8YYgeMRkyUnrQy070h1gL-DZyP4aZw5wCLcBGAsYHQ/s640/Pic-3-aAA-768x578.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Pic-3-bAA-1024x774.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Pic-4AA-1024x761.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gw6qeKR6gFQ/Xk5VvHKPidI/AAAAAAAAIIA/vbQIXM95e688RT_3rgWlw6FAEIX6Mf5mwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_123924_659.jpg)
SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.
Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VNMpxXKGWKc/XlPaFTgvXII/AAAAAAALfG0/5JhQM0jzSN8Sd92NxuCrWc4JyDDjiTCiACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.44.23%2BPM.jpeg)
SPIKA NDUGAI ATOA NENO KWA VIONGOZI WAKUU WA DINI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI VIRUSI VYA UKIMWI, UNYANYAPAA
Ametoa ombi hilo jijini Arusha wakati akifungua mkutano maalum ulioandaliwa na ofisi yake kupitia NACOPHA chini ya mradi wa Hebu Tuyajenge unaofadhiliwa na USAID kutoka kwa watu wa Marekani. Mutano huo...
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Virusi vya corona: Watu 260wathibitishwa kuwa na virusi ndani ya saa 24 nchini Kenya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HxS77JW7Ti0/XmNIOYo925I/AAAAAAALhsE/7x9THNe7-jkir2KX6G3pEJFzUG-tI7kFgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv7044a2a779a1m2i3_800C450.jpg)
Watu 913 wapona virusi vya corona nchini Iran, WHO yapongeza
![](https://1.bp.blogspot.com/-HxS77JW7Ti0/XmNIOYo925I/AAAAAAALhsE/7x9THNe7-jkir2KX6G3pEJFzUG-tI7kFgCLcBGAsYHQ/s640/4bv7044a2a779a1m2i3_800C450.jpg)
Dk Kianoush Jahanpour, Mkuu wa Kituo cha Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari cha Wizara ya Afya ya Iran alitangaza habari hiyo jana Ijumaa na kuongeza kuwa, watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Iran kufikia jana ilikuwa ni 4,747, kati ya hao 124 wamepoteza maisha kutokana na virusi hivyo lakini waliopona ni watu 913.
Dk...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V03fw1PMVRY/U-a6lJ2jnZI/AAAAAAAF-JY/3EGLETQfrcE/s72-c/unnamed.jpg)
NAIBU SPIKA ALIPOKUWA ZIARA YA KIKAZI NCHINI MALAYSIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V03fw1PMVRY/U-a6lJ2jnZI/AAAAAAAF-JY/3EGLETQfrcE/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Je ni kwanini Idadi ya watu walioambukizwa virusi Uganda inapunguzwa?
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Mwanamke anayetetea walio na virusi vya Ukimwi
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Virusi vya corona: Watu 'wasiojua wana virusi’ wanavyochangia kuongezeka kwa maambukizi