NANI ALAUMIWE HAPA
![](http://img.youtube.com/vi/BfDjNv4kEvw/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Je nani alaumiwe kwa mabadiliko ya anga ?
Rais wa Bolivia, Evo Morales amelaumu mataifa hayo yaliyopiga hatua kubwa kiuchumi kwamba ndio wa kulaumiwa kwa hali ya mabadiliko ya anga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4zW4jQcYxviH8MdXHZAdTomYhIiaRKKwiCscEIIax7LGsMpamsNwhPngfXsL2y25EekYUICjkuEe6B8ukOO91F6/pasua.jpg)
RAIS KUTOKUWA NA ‘MENO’ KWENYE BUNGE LA KATIBA ALAUMIWE NANI?
KWANZA kama ilivyo ada nimshukuru Mungu kwa kuniweka hai nikiwa na afya njema.
Wiki iliyopita nilieleza jinsi muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulivyozitesa serikali za muungano na ile ya Mapinduzi ya Zanzibar. Nikasema kamati na tume nyingi ziliundwa na fedha za walipa kodi, nyingi zikatumika lakini mgogoro upo palepale. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho… ...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Askofu: Alaumiwe JK, si Warioba
UMOJA wa Makanisa ya Kikristo mjini Dodoma, umekemea baadhi ya viongozi wa serikali na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kumbeza aliyekuwa Mwenyekiti ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji...
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Katiba isipopatikana alaumiwe Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete alikuwa na nia njema sana alipounda Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kumteua Jaji Joseph Warioba kuwa Mwenyekiti. Robo tatu ya wajumbe aliowateua ni makada kindakindaki (halisi)...
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
Historia yake
Fahmi Nasoro Dovutwa ni Mwenyekiti wa kitaifa wa Chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP). Alizaliwa Februari 27, 1957 mjini Kisarawe mkoani Pwani (Amefikisha miaka 58 Februari mwaka huu).
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
Historia yake
Peter Mziray ni Rais Mtendaji wa Chama cha APPT Maendeleo, Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na kitaaluma ni mtaalamu wa mifugo na uchumi wa kilimo.
10 years ago
Mwananchi06 Jun
NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
Historia yake
Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
Ibrahim Lipumba ni mchumi wa kimataifa na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF). Alizaliwa Juni 6, 1952 katika Kijiji cha Ilolangulu mkoani Tabora.
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania