NANI KAMA BABA....???

Baba akiwa amembeba mwanae Mgongoni huku akiendesha baiskeli yake kuelekea nyumbani kwake kama alivyonaswa na kamera mani wa Globu ya Jamii maeneo ya Manyoni,Mkoni Singida.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Nov
Nani kama Waziri Mkuu Majaliwa
WANANCHI na wasomi wa Ruangwa na Dodoma, wanaamini Tanzania imepata kiongozi anayefahamu changamoto zinazowakabili watanzania wa hali ya kawaida kutokana na uteuzi wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
11 years ago
GPL
9 years ago
Bongo Movies20 Nov
Nani Wakufanya Mapinduzi ya Filamu Kama Sio…
TUSIMAME TASNIA ISIMAME
Naifahamike wazi kuwa Tasnia ya filamu inakufa, na hatuwezi kuendelea kulalamika kuwa tasnia ya filamu inakufa huku kila mmoja akiweka bawa lake pembeni, hatuwezi kukaa chini na kulia tu kwani machozi hayajawahi kuzima moto unaounguza nyumba bali walioacha kulia ndio huzima moto.
Si kama Watanzania hawawezi kutengeneza Filamu kubwa za Kimataifa ila Tuna matatizo sugu yanayotafuna Tasnia miaka na Miaka.
Ikiwemo matatizo ya soko, elimu ya Sanaa, uwekezaji katika...
10 years ago
Mwananchi01 Mar
CCM yapata pigo, nani ataimba kama Komba?
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Kama akiwa Rais Nani atamfunga ‘gavana’ Magufuli?
NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwa kutoweka ghafla, na kwa muda mrefu katika safu hii.
Johnson Mbwambo
11 years ago
Tanzania Daima31 Aug
‘Usiku wa Nani Kama Mama’ wampa uchungu Dimpoz
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema mashairi aliyoimba katika wimbo wa ‘Nani Kama Mama’ alioshirikishwa na Christian Bella aliandika akiwa anamaanisha. Akizungumza jijini Dar...
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Bella aitikisa DARLIVE usiku wa nani kama Mama
Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.
Nyomi ya mashabiki walijitokeza katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.
Madansa wa Malaika Music bendi wakifanya yao.
Mashabiki wakicheza na Christian Bella ‘Obama’.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na shoo ya mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ (hayupo pichani).
Christian...
10 years ago
Bongo Movies03 Jun
Nani Huyu Anayemtibulia Uwoya kwa Baba Mtoto Wake?!, Soma Alichokieleza
UBUYU: Irene Uwoya amefunguka haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram
Kuwa juu sio lazima utumie migongo ya watu,mwanamke kujiamin afu mmbwa hawanisumbui kabisa ila fanya yote acha kumtumia msg za uwongo mme wangu ata kama tumetengana tuna mtoto!sooo plzzz kaa mbali na mim ,mim sijazoea uswahili na bishana na pesa sio maneno!ila narudia tena acha kumtumia mme wangu msg za kiseee kama mnatakana fanyeni bila kunitaja tena hamtaona naongea!nazan umenielewa vzuri sina haja...
10 years ago
GPL08 Dec
NANI KAMA MAMA YA CHRISTIAN BELLA ILIVYOTAMBULISHWA DAR LIVE