Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NANI KAMA BABA....???

 Baba akiwa amembeba mwanae Mgongoni huku akiendesha baiskeli yake kuelekea nyumbani kwake kama alivyonaswa na kamera mani wa Globu ya Jamii maeneo ya Manyoni,Mkoni Singida.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Nani kama Waziri Mkuu Majaliwa

WANANCHI na wasomi wa Ruangwa na Dodoma, wanaamini Tanzania imepata kiongozi anayefahamu changamoto zinazowakabili watanzania wa hali ya kawaida kutokana na uteuzi wa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

 

9 years ago

Bongo Movies

Nani Wakufanya Mapinduzi ya Filamu Kama Sio…

TUSIMAME TASNIA ISIMAME
Naifahamike wazi kuwa Tasnia ya filamu inakufa, na hatuwezi kuendelea kulalamika kuwa tasnia ya filamu inakufa huku kila mmoja akiweka bawa lake pembeni, hatuwezi kukaa chini na kulia tu kwani machozi hayajawahi kuzima moto unaounguza nyumba bali walioacha kulia ndio huzima moto.

Si kama Watanzania hawawezi kutengeneza Filamu kubwa za Kimataifa ila Tuna matatizo sugu yanayotafuna Tasnia miaka na Miaka.

Ikiwemo matatizo ya soko, elimu ya Sanaa, uwekezaji katika...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapata pigo, nani ataimba kama Komba?

>Mbunge wa Mbinga Magharibi na mkurugenzi wa kundi la uhamasishaji la CCM, Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni mstaafu John Komba (61), amefariki dunia jana.

 

10 years ago

Raia Mwema

Kama akiwa Rais Nani atamfunga ‘gavana’ Magufuli?

NIANZE kwa kuwaomba radhi wasomaji wangu kwa kutoweka ghafla, na kwa muda mrefu katika safu hii.

Johnson Mbwambo

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Usiku wa Nani Kama Mama’ wampa uchungu Dimpoz

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amesema mashairi aliyoimba katika wimbo wa ‘Nani Kama Mama’ alioshirikishwa na Christian Bella aliandika akiwa anamaanisha. Akizungumza jijini Dar...

 

10 years ago

Dewji Blog

Bella aitikisa DARLIVE usiku wa nani kama Mama

DALLIVE15

Mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ akifanya yake usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.

DALLIVE2

Nyomi ya mashabiki walijitokeza katika uzinduzi wa albamu yake mpya ya Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live.

Madansa wa Malaika Music bendi wakifanya yao.

Mashabiki wakicheza na Christian Bella ‘Obama’.

DALLIVE3

Mashabiki wakiwa wamepagawa na shoo ya mfalme wa masauti, Christian Bella ‘Obama’ (hayupo pichani).

Christian...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nani Huyu Anayemtibulia Uwoya kwa Baba Mtoto Wake?!, Soma Alichokieleza

UBUYU: Irene Uwoya amefunguka haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram

Kuwa juu sio lazima utumie migongo ya watu,mwanamke kujiamin afu mmbwa hawanisumbui kabisa ila fanya yote acha kumtumia msg za uwongo mme wangu ata kama tumetengana tuna mtoto!sooo plzzz kaa mbali na mim ,mim sijazoea uswahili na bishana na pesa sio maneno!ila narudia tena acha kumtumia mme wangu msg za kiseee kama mnatakana fanyeni bila kunitaja tena hamtaona naongea!nazan umenielewa vzuri sina haja...

 

10 years ago

GPL

NANI KAMA MAMA YA CHRISTIAN BELLA ILIVYOTAMBULISHWA DAR LIVE

BENDI ya muziki wa Dansi ya Malaika chini ya Christian Bella ‘Obama’ Desemba 6, 2014 iliutikisa Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar baada ya kuwapagawisha mashabiki kwa shoo ya nguvu iliyoambatana na utambulisho wa wimbo wa Bella uitwao 'Nani Kama Mama'.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani