Nani Mtani Jembe ya Msondo, Sikinde ni Iddi Mosi TCC Club Chang’ombe
![](http://3.bp.blogspot.com/-rA6CQ1j_Mg8/VadqyxQut-I/AAAAAAAHqDE/rSZbZxEU4K4/s72-c/th%2B%25281%2529.jpg)
SikindeMAGWIJI wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma na Mlimani Park Orchestra ‘Wana Sikinde Ngoma ya Ukae’, wataonyeshakana kazi katika Sikukuu ya Iddi Mosi kwenye viwanja vya TCC Club, Chang’ombe.
MsondoMpambano huo ujulikanao kama ‘Nani Mtani Jembe’ umeandaliwa na Keen Arts chini ya udhamini wa Konyagi.Mratibu wa mchuano huo, Joseph Kapinga ‘Kaps’, amesema pambano hilo litakuwa la kusherekea sikukuu ya Idd el Fitr.Kapinga alisema kuwa pia pambano hilo litaamua ni bendi gani kali kati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNani Mtani Jembe ya Msondo, Sikinde siku ya Krismasi TCC CLUB
BAADA ya mechi ya Nani Mtani Jembe kati ya Simba na Yanga kwa mchezo wa soka, Wafalme wa muziki wa dansi nchini bendi pizani za Msondo Ngoma na Mlimani Park Orchestra (Wana Sikinde Ngoma ya Ukae) nao watakuwa na Mtani jembe yao siku ya Krismasi katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe.
Mpambano huo wa Mtani Jembe umeandaliwa na Keen Arts na Bob Entertainment.Mratibu wa mchuano huo Joseph Kapinga amesema pambano hilo litakuwa la kusherekea sikukuu ya Krismasi na kufunga mwaka 2014.Mpambano na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4TETQG4tBiM/U8rqnC9ghAI/AAAAAAAF3zg/fCwtIzhDE5k/s72-c/SH100835.jpg)
Msondo, Sikinde uso kwa uso Iddi Mosi TCC Club
![](http://2.bp.blogspot.com/-4TETQG4tBiM/U8rqnC9ghAI/AAAAAAAF3zg/fCwtIzhDE5k/s1600/SH100835.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IqQLziTISnk/U8rqnKLDEYI/AAAAAAAF3zc/lKN9ty_gKWs/s1600/images+(1).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cTTy3jB8nC4/VFYMCXRwthI/AAAAAAAGvDk/Hsw_ah9u5Hw/s72-c/7.jpg)
JUBILEE YA MIAKA 50 YA MSONDO NGOMA , TCC CHANG’OMBE
Mgeni Rasmi katika Sherehe hizo ya kusherehekea Jubilei ya miaka 50 ya Bendi ya Msondo Ngoma,alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Prof. Elisante...
11 years ago
MichuziMsondo, Sikinde ngoma nzito TCC Club kesho
Magwiji wa muziki wa dansi nchini, Msondo Ngoma Music Band ‘Mambo Hadharani’ na Mlimani Park Orchestra “Sikinde Ngoma Ya Ukae” kesho mchana watachuana vikali katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe, Temeke.
Mpambano huo wa Nani Mtani Jembe ni kwa ajili ya kusherehekea sikukuu ya Idd el Fitri na pia litaamua ni bendi ipi kali kati yao.
Mratibu wa mchuano huo, Joseph Kapinga amesema pambano hilo litaanza saa nane alasiri hadi majogoo.
Kapinga alisema...
11 years ago
GPLMSONDO NGOMA WAITEKA TCC CHANG'OMBE KWA BURUDANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EsBWRqDnwcA/VJso26HJ_JI/AAAAAAAG5qU/KtPwOMJ-5WE/s72-c/unnamed%2B(50)%2B(1).jpg)
Bingwa Msondo, Sikinde kujulikana leo Christmas day TCC Club
![](http://4.bp.blogspot.com/-EsBWRqDnwcA/VJso26HJ_JI/AAAAAAAG5qU/KtPwOMJ-5WE/s1600/unnamed%2B(50)%2B(1).jpg)
10 years ago
GPLYALIYOJIRI JANA KATIKA JUBILEE YA MIAKA 50 YA MSONDO NGOMA , TCC CHANG’OMBE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQleMpK13Xzrfq*lMbv1YX*LgqFxG5bAFZhRhL65mb9tF3m6dP6fbkX0O5FTPSw0KsFQTTyF5srnrpo6kfCw1AB/grumo.jpg?width=650)
MACHO YOTE LEO NI GURUMO 53 TCC CLUB CHANG’OMBE
10 years ago
Bongo521 Oct
YP kuagwa TCC Chang’ombe na kuzikwa kesho (Oct 22) katika makaburi ya Chang’ombe