NAPE aitaka tume kujibu hoja kwa wakati
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuva akisalimia na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye mkutano wa pamoja na viongozi wa vyama vya siasa wa kujadili maboresho ya uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura na Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa, Dar es Salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-bevU-uZBWgw/VN1tA79o26I/AAAAAAAAW6I/_MN6L3qWIWc/s1600/3.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu Damian Lubuvaakisalimiana na Katibu wa NEC Oganaizeshen CCM,Dk.Mohamed Seif Khatibu.
Wadau mbali mbali wa vyama...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s72-c/1.jpg)
NAPE AITAKA TUME YA UCHAGUZI KUWA NA RATIBA YA UHAKIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nh3HgRWDnwY/VVEfcEsUASI/AAAAAAAAbkA/p8gqrPocSJg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KWL7AXOUQRs/VVEfdWl72rI/AAAAAAAAbkM/43t62yXCHNs/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-75oRLz9Pogc/VVEfeG7AsjI/AAAAAAAAbkQ/9j14lxWiK00/s640/4.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Shein awataka mawaziri Z’bar kujibu maswali kwa hoja
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_D6D5O30SCA/VDQ6DaT8RZI/AAAAAAAASDg/kUZe5hTgBAc/s72-c/1.jpg)
KINANA AWATAKA VIONGOZI WA SERIKALI KUJIBU MASUALA YA WANANCHI KWA WAKATI
![](http://2.bp.blogspot.com/-_D6D5O30SCA/VDQ6DaT8RZI/AAAAAAAASDg/kUZe5hTgBAc/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-392Jl4Qph0U/VDQ6HIfDgkI/AAAAAAAASEY/yIpRu8gcbMk/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7nGkRlj44m0/VDQ6Lr5GugI/AAAAAAAASFQ/nhHffKIGOlg/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fMyFWmv_j_8/VDQ6L6U0zCI/AAAAAAAASFU/T1RQzFDtXAc/s1600/5.jpg)
10 years ago
Habarileo19 Mar
Kinana: Nitarudi na mawaziri kujibu hoja
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameahidi kuwapeleka baadhi ya mawaziri kwa jamii ya wafugaji wa Kimasai wanaoishi katika vijiji vilivyopo ndani ya Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro.
11 years ago
MichuziWaziri wa fedha Mhe.Saada Mkuya Kujibu Hoja za Wabunge jioni ya Leo
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Lowassa aitaka tume imtangaze kuwa mshindi Tanzania
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9l26CrgDE0Q/U26En-q46oI/AAAAAAAFgsk/DjNEY_CI0go/s72-c/IMG_8783.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NeZSb8inmZg/XsNwbcdl5GI/AAAAAAALqtU/fB7I1rBmzecoLfLGFJIJnH212rT3ZKKxwCLcBGAsYHQ/s72-c/873cfe13-d758-4251-8b9e-f44638d623d6.jpg)
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
10 years ago
Vijimambo04 Jul
‘BAO LA MKONO’ LA NAPE LATUA TUME YA UCHAGUZI
![](http://api.ning.com/files/oTw*v75BEJGA0rtPvoXLBJSEDHx4ttncygkMzfou0quGXyONA1Y0Hr1sx*84YemxGAAcdxv7pFSjNIgXIkaZBmOFSlu8k*lk/02Baolanape.jpg)
Dar es Salaam.
Kauli ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye bado inawaumiza vichwa wapinzani nchini baada ya viongozi hao jana kuitamkia wazi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), kuwa hakuna haja ya kujadili maadili wakati CCM tayari kimesema ‘kitafunga bao la mkono.’
Wakizungumza kwenye mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na viongozi wa vyama vya siasa kuhusu maadili ya Uchaguzi jana, baadhi ya viongozi hao walitaka mkutano...