Nape apokelewa kishujaa Mwanza
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipokelewa na umati wa watu kwenye eneo la mkutano Nyamalango ambapo atahutubia wanachama wa CCM Tawi la SAUT pamoja na wakazi wa maeneo hayo , pamoja na kuhutubia pia Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi atawapokea wanachama zaidi ya 30 wanaotoka Upinzani na kujiunga na CCM.
Wanachama wa CCM SAUT wakionyesha ujumbe kutoka kwenye mabango.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipeana mikono na wanachama wa CCM SAUT kwenye uwanja wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqINso9IOrPmLlqVl0yIlTAk1yewZeokjyeGN47s4jUoTMMTwkXOg3Q9*jmtoSWgEdUgZD46DdZH9DnYf9D8WGi5/uhuru.jpg?width=650)
KENYATTA APOKELEWA KISHUJAA NCHINI KENYA
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya (kushoto) akilakiwa na Makamau wa Rais, William Ruto alipowasili JKIA leo alfajiri akitokea The Hague.…
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-DG756tUltwU/VZAoFpEJA2I/AAAAAAAAwNM/a2JKyW-NR_c/s640/1.jpg)
KINANA, NAPE WAFUNIKA JIJINI MWANZA
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapigia saluti, maelfu ya wananchi, alipowasili kuhutubia mkutano wake wa hadhara aliofanya jana kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Mwanza. Katibu wa…
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/m7Qtj_epnXE/default.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-njzxx9iKRiw/U5OPIsV6WdI/AAAAAAAAOxE/7kVydesV1oU/s72-c/5.jpg)
NAPE azungumza na wanachama wa CCM Tawi la SAUT jijini MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-njzxx9iKRiw/U5OPIsV6WdI/AAAAAAAAOxE/7kVydesV1oU/s1600/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NCMhCwweheM/VZAMsNiUQlI/AAAAAAAC7t0/TJrpy1bswcc/s72-c/11.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA NAPE NNAUYE WATIKISA JIJI LA MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NCMhCwweheM/VZAMsNiUQlI/AAAAAAAC7t0/TJrpy1bswcc/s640/11.jpg)
Mkutano huo umefanyika kwenye viwanja vya Furahisha, Kirumba jijini Mwanza jioni ya leo. Ndugu Kinana ambaye katika ziara hiyo ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s72-c/1.jpg)
KINANA NA NAPE WAONGOZA MAKUNDI YA VIJANA KUSHIRIKI JOGGING JIJINI MWANZA ASUBUHI HII.
![](http://1.bp.blogspot.com/-MmYJspYSolg/VY46CxDzuvI/AAAAAAAAf3o/Mqp0M9inyRE/s640/1.jpg)
Viongozi mbali mbali walishiriki mchakamchaka huo akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Mtoto Nasra azikwa kishujaa
>Mtoto huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka minne, alifariki Juni Mosi kwenye Hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya homa ya mapafu. Aliishi kwenye boksi tangu alipokuwa na umri wa miezi tisa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GvFfwHMN-v7CjzNTMdP9yX1CUFtGxSBVTIbKMjdYa5nxVPS6QCtJsxIBkeFkg-t9DZbyb38NnuMkT6pq1FV*Q9Vv6AAx0Ryp/Samatta.jpg?width=650)
Samatta arejea TP Mazembe kishujaa
Mhambuliaji Mbwana Samatta. Na Mwandishi Wetu  Â
MSHAMBULIAJI Mbwana Samatta sasa anarejea nchini DR Congo kuendelea kuichezea klabu yake ya TP Mazembe, akionekana kama shujaa kutokana na kufaulu licha ya kushindwa kuchukuliwa kucheza Ulaya. Samatta alifanya majaribio katika kikosi cha CSKA Moscow cha Russia ambacho kilikuwa kimeweka kambi nchini Hispania.Meneja wa Mbwana Samatta, Jamal Kisongo amesema baada ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania