Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NAPE KUZINDUA FILAMU YA HOMECOMING UKUMBI WA CENTURY CINEMA LEO

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo anazindua filamu ya Homecoming katika Ukumbi wa Century Cinema uliopo Mlimani City.Mwongozaji wa filamu hiyo, Seko Shamte.Mwigizaji Mkuu wa Filamu hiyo Daniel Kijo.
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo anazindua filamu ya Homecoming katika Ukumbi wa Century Cinema uliopo Mlimani City.
Uzinduzi huo pia utaoneshwa moja kwa moja na king’amuzi cha Azam kupitia Channel yake ya Sinema Zetu.
Akizungumza kuhusiana...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Nape Kuzindua Filamu ya Homecoming, Century Cinema leo

Nape Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo anazindua filamu ya Homecoming katika Ukumbi wa Century Cinema uliopo Mlimani City.
Producer wa Homecoming Seko Shamte Mwongozaji wa filamu hiyo, Seko Shamte.  Daniel Kijo 2Mwigizaji Mkuu wa Filamu hiyo Daniel Kijo.

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo anazindua filamu ya Homecoming katika Ukumbi wa Century Cinema uliopo Mlimani City.

Uzinduzi huo pia utaoneshwa moja kwa moja na king’amuzi cha Azam kupitia Channel yake ya Sinema...

 

11 years ago

GPL

SWAHILIWOOD YAZINDUA FILAMU TATU UKUMBI WA CENTURY CINEMA

Wadau wa filamu wakifuatilia uzinduzi huo. Mkurungenzi wa MFDI, John Riber, akiwa na mkali wa R&B nchini, Ben Pol. Swebe, Sintah na…

 

9 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao ndani ya filamu ya Homecoming, kutinga Cinema kisha sokoni mwezi huu

Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.

Crew nzima pamoja na baadhi ya waigizaji

Moja kati ya kamera kali zilizotumika

Kazi ikiendelea location.

Na Mwandishi Wetu

WASANII mahiri wameshiriki kwenye filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi...

 

9 years ago

Michuzi

MASTAA KIBAO NDANI YA FILAMU YA HOMECOMING, KUTINGA SOKONI MWEZI HUU


Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.Crew nzima pamoja na baadhi ya waigizajiMoja kati ya kamera kali zilizotumika.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Michuzi

FILAMU YA MPANGO MBAYA YA TMT KURUSHWA MLIMANI CITY CINEMA 12.JUNE.2015

ILE Filamu kubwa iliyoshirikisha wasanii mahiri kutoka Tanzania movie Talent Top Ten 2014 (TMT) ipo tayari na inatarajia kuonyeshwa katika jumba la sinema la Mlimani City Cinema Tarehe 12.June. 2015 ni siku ya Ijumaa na itarfuka kwa siku tatu Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.
Sinema hiyo ambayo imeshirikisha wasanii wakali wenye elimu ya uigizaji kutoka kwa wakufunzi kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam imerekodiwa katika viwango vya kimataifa ndio maana inaanza kurushwa katika majumba ya sinema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twanga kuzindua ukumbi wake Machinga Complex

KAMPUNI ya The African Stars Entertainment (ASET), inayomiliki bendi ya Twanga Pepeta, kesho inatarajiwa kuzindua ukumbi wake mpya wa kisasa utakaojulikana kwa jina la ‘Business Lounge’ ndani ya jengo la...

 

11 years ago

Michuzi

Twanga Pepeta kuzindua ukumbi wake Ijumaa

Bendi ya muziki wa dansi ya The African Stars ‘wana twanga pepeta’ ijumaa itazindua ukumbi wa kisasa wa burudani na mikutano wa Machinga Lounge uliopo maeneo ya uwanja wa mpira wa wa miguu wa Karume jijini.
Ukumbi huo unamilikiwa na kampuni ya African Stars Entertainment Tanzania (ASET), umetengenezwa  kisasa zaidi kwa lengo la kuwapa burudani mashabiki wa Manispaa ya Ilala, Temeke na Kinondoni kwa mujibu wa mkurugenzi wa Twanga Pepeta, Asha Baraka.
Asha alisema kuwa kwa muda mrefu sasa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hii ndio filamu ya Kibongo itakaayoneshwa kwenye jumba la cinema la Mlimani City kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu.

Kwa mara nyingine tena wapenzi wa bongo movies tunatapa fursa ya kwenda kuangalia moja ya kazi za kipekee na ubunifu zaidi kwenye Tasnia ya filamu nchini. Kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam, basi tukutane pale kwenye jumba la cinema la mlimani city kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu kutazama filamu mpya na ya Kipekee Samaki mchangani. iliyotengenezwa na kampuni ya Kijiweni production chini ya usimamizi wa mtayarishaji Wlison Rumisha.

 

"Filamu hii inaanza na siku ya faraja kwa ajili ya...

 

9 years ago

Michuzi

FILAMU MPYA 'GOING BONGO' KUZINDULIWA RASMI IJUMAA CENTURY CINEMAX MLIMANI CITY JIJINI DAR

FILAMU mpya inayokwenda kwa jina la ‘Going Bongo’ ambayo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa filamu ndani na na nje ya nchi  imekamilika  sasa kuzinduzliwa rasmi kesho  Ijumaa kwenye ukumbi wa sinema wa Century Cinemax uliopo Mlimani City, Jijini Dar es Salaam. 
Akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi huo mtunzi na muandishi ambaye pia ameisimamia  katika kuitengeneza na kuigiza filamu hiyo, Ernest Napoleon alisema, 
“Naamini kuonyeshwa kwa filamu hii kutaandika historia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani