NAPE KUZINDUA FILAMU YA HOMECOMING UKUMBI WA CENTURY CINEMA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-HDZVb6YyjXc/VoIu5cgZS_I/AAAAAAAAMFA/ahkKWg1bs3c/s72-c/Nape.jpg)
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo anazindua filamu ya Homecoming katika Ukumbi wa Century Cinema uliopo Mlimani City.
Mwongozaji wa filamu hiyo, Seko Shamte.
Mwigizaji Mkuu wa Filamu hiyo Daniel Kijo.
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo anazindua filamu ya Homecoming katika Ukumbi wa Century Cinema uliopo Mlimani City.
Uzinduzi huo pia utaoneshwa moja kwa moja na king’amuzi cha Azam kupitia Channel yake ya Sinema Zetu.
Akizungumza kuhusiana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Nape Kuzindua Filamu ya Homecoming, Century Cinema leo
![Nape](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/Nape2.jpg)
![Producer wa Homecoming Seko Shamte](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/Producer-wa-Homecoming-Seko-Shamte.jpg)
![Daniel Kijo 2](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/Daniel-Kijo-2.jpg)
WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo anazindua filamu ya Homecoming katika Ukumbi wa Century Cinema uliopo Mlimani City.
Uzinduzi huo pia utaoneshwa moja kwa moja na king’amuzi cha Azam kupitia Channel yake ya Sinema...
11 years ago
GPLSWAHILIWOOD YAZINDUA FILAMU TATU UKUMBI WA CENTURY CINEMA
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
Mastaa kibao ndani ya filamu ya Homecoming, kutinga Cinema kisha sokoni mwezi huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s640/download.jpg)
Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
Crew nzima pamoja na baadhi ya waigizaji
Moja kati ya kamera kali zilizotumika
Kazi ikiendelea location.
Na Mwandishi Wetu
WASANII mahiri wameshiriki kwenye filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s72-c/download.jpg)
MASTAA KIBAO NDANI YA FILAMU YA HOMECOMING, KUTINGA SOKONI MWEZI HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s640/download.jpg)
Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3PcONz1K9Ik/VXaTDJEiANI/AAAAAAAHdRc/oYo9FK6t7fA/s72-c/unnamed111.jpg)
FILAMU YA MPANGO MBAYA YA TMT KURUSHWA MLIMANI CITY CINEMA 12.JUNE.2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-3PcONz1K9Ik/VXaTDJEiANI/AAAAAAAHdRc/oYo9FK6t7fA/s400/unnamed111.jpg)
Sinema hiyo ambayo imeshirikisha wasanii wakali wenye elimu ya uigizaji kutoka kwa wakufunzi kutoka Chuo kikuu cha Dar es Salaam imerekodiwa katika viwango vya kimataifa ndio maana inaanza kurushwa katika majumba ya sinema...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Twanga kuzindua ukumbi wake Machinga Complex
KAMPUNI ya The African Stars Entertainment (ASET), inayomiliki bendi ya Twanga Pepeta, kesho inatarajiwa kuzindua ukumbi wake mpya wa kisasa utakaojulikana kwa jina la ‘Business Lounge’ ndani ya jengo la...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b05b-vcN6I0/U2pAsZFHmwI/AAAAAAAFgIs/Y47f2fyg8DY/s72-c/002.jpg)
Twanga Pepeta kuzindua ukumbi wake Ijumaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-b05b-vcN6I0/U2pAsZFHmwI/AAAAAAAFgIs/Y47f2fyg8DY/s1600/002.jpg)
Ukumbi huo unamilikiwa na kampuni ya African Stars Entertainment Tanzania (ASET), umetengenezwa kisasa zaidi kwa lengo la kuwapa burudani mashabiki wa Manispaa ya Ilala, Temeke na Kinondoni kwa mujibu wa mkurugenzi wa Twanga Pepeta, Asha Baraka.
Asha alisema kuwa kwa muda mrefu sasa...
10 years ago
Bongo Movies15 Sep
Hii ndio filamu ya Kibongo itakaayoneshwa kwenye jumba la cinema la Mlimani City kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu.
Kwa mara nyingine tena wapenzi wa bongo movies tunatapa fursa ya kwenda kuangalia moja ya kazi za kipekee na ubunifu zaidi kwenye Tasnia ya filamu nchini. Kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam, basi tukutane pale kwenye jumba la cinema la mlimani city kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu kutazama filamu mpya na ya Kipekee Samaki mchangani. iliyotengenezwa na kampuni ya Kijiweni production chini ya usimamizi wa mtayarishaji Wlison Rumisha.
"Filamu hii inaanza na siku ya faraja kwa ajili ya...
9 years ago
MichuziFILAMU MPYA 'GOING BONGO' KUZINDULIWA RASMI IJUMAA CENTURY CINEMAX MLIMANI CITY JIJINI DAR
Akizungumza jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi huo mtunzi na muandishi ambaye pia ameisimamia katika kuitengeneza na kuigiza filamu hiyo, Ernest Napoleon alisema,
“Naamini kuonyeshwa kwa filamu hii kutaandika historia...