Nape Mgeni Rasmi Tuzo Siku Ya Msanii
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU4n8fMU6HU/VmrAs2V88II/AAAAAAAILpg/Vvh03BjSuno/s72-c/NAPELAANA-620x400.jpg)
.Twanga, K-Mondo Muzika, Mafumu Bilal kutoa burudaniWAZIRI wa Habari, Wasanii, Utamaduni, Vijana na Michezo, Nape Nnauye leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tuzo za Siku Ya Msanii zitakazofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho, Posta, Dar es Salaam.
Hii ni mara ya pili kwa tuzo za Siku Ya Msanii kufanyika, ambapo mara ya kwanza zilifanyika mwaka jana kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.Mwaka huu zitatolewa tuzo nne ikiwa ni nyongeza ya tuzo mbili tofauti za zile za mwaka jana....
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Dec
Nape mgeni rasmi tamasha la Krismasi
WAZIRI wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye anatarajiwa kumwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye Tamasha la Krismasi litakalofanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ,Dar es Salaam.
11 years ago
CloudsFM26 Jul
RAIS KIKWETE MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA SIKU YA JANA
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao kwenye mnara wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika jana katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Mohamed Ali Shein kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam jana. Wengine ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-GN-49MkWW-o/VQtVMkGKn7I/AAAAAAAAIFg/sEN5ZpO1jD0/s72-c/IMG_2090.jpg)
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi TUZO YA JAMII
![](http://2.bp.blogspot.com/-GN-49MkWW-o/VQtVMkGKn7I/AAAAAAAAIFg/sEN5ZpO1jD0/s640/IMG_2090.jpg)
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa tuzo hizo Gadiel Urioh, tuzo hizo zitatolewa kwenye ukumbi wa Julius Nyerere Convention Center jijini Dar Es Salaam.
Utaratibu mzima wa upigaji kura umefafanuliwa kwenye video na / ama taarifa kwa vyombo vya habari hapa chini
![](http://3.bp.blogspot.com/-BXEQa34Cdw0/VQtVMQwtdmI/AAAAAAAAIFY/iWUQiy6FYqE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ktM1bdUAnv4/VQtVMrW-CNI/AAAAAAAAIFc/t3j4zanEPdY/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0002.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FzoBrhudSMg/VQtVNAXY_sI/AAAAAAAAIFk/mJAC-ZoHn14/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AG1aAGRcMHo/VQtVNX3mZ9I/AAAAAAAAIFo/jCn62-MUeZE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0004.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-zwTVYv2PME0/VQtVNbW2g-I/AAAAAAAAIFw/02uywSGMzvE/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0005.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ex3dfsFRPLI/VQtVNrEQqRI/AAAAAAAAIF0/RqAJ3Txhm5s/s640/TAARIFA%2BKWA%2BVYOMBO%2BVYA%2BHABARI%2B(1)-page0006.jpg)
10 years ago
Habarileo11 Feb
Bilal mgeni rasmi tuzo kwa kampuni bora
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya kutoa tuzo kwa kampuni bora kwa mwaka 2014.
10 years ago
Habarileo26 May
JK mgeni rasmi Siku ya Ualbino
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Siku ya Kimataifa ya Ualbino Duniani, inayotarajiwa kufanyika kwa siku tano kuanzia Juni 9 katika Viwanja vya Shekhe Amri Abeid, Arusha.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-D3lU1L5MZaU/VIhFlg6k4QI/AAAAAAAG2Wk/-qGwSOdPDLc/s72-c/dr_shein.jpg)
DKT. SHEIN KUWA MGENI RASMI UTOAJI TUZO ZA TASWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-D3lU1L5MZaU/VIhFlg6k4QI/AAAAAAAG2Wk/-qGwSOdPDLc/s1600/dr_shein.jpg)
Tuzo hizo zinaandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) na mwaka huu zimedhaminiwa na Selcom Wireless, Said Salim Bakhresa & Co Ltd - Bakhresa Group, IPTL, mifuko ya hifadhi ya jamii, PSPF na NSSF.
TASWA inaishukuru Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ushirikiano wake na kukubali Rais Dk. Shein...
10 years ago
Habarileo11 Jun
JK mgeni rasmi siku ya albino Arusha
RAIS Jakaya Kikwete anatarajia kuwa mgeni rasmi siku ya Maadhimisho ya Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi (Albino) kitaifa, yatakayofanyika Jumamosi wiki hii, jijini Arusha, kwenye uUwanja wa Shekhe Amri Abeid.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Oa0HKGhB29Q/VMlck3l7MkI/AAAAAAAHAE4/T9yR_RhG2uE/s72-c/Mahakama%2B-1.jpg)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI MAADHIMISHO SIKU YA SHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Oa0HKGhB29Q/VMlck3l7MkI/AAAAAAAHAE4/T9yR_RhG2uE/s1600/Mahakama%2B-1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vNtTOx52GqI/VMlclBiJOEI/AAAAAAAHAE8/LtJUZSnwrM0/s1600/Mahakama%2Bna%2B%2B2.jpg)