Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK mgeni rasmi Siku ya Ualbino

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Siku ya Kimataifa ya Ualbino Duniani, inayotarajiwa kufanyika kwa siku tano kuanzia Juni 9 katika Viwanja vya Shekhe Amri Abeid, Arusha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JK MGENI RASMI MAADHIMISHO YA KIMATAIFA YA WATU WENYE UALBINO

 Katibu Mkuu wa Sirika la Dawa Asili na Ulizi wa Mazingira Boniventure Mwalongo akifafanuaa jambo mbele ya waandishi wa Habari hawapo pichani kuhusiana na Maadhimisho ya kimataifa ya kuongeza ufahamu juu ya Ualbino katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam Leo katikati ni Mwenyekita wa Chama Cha Albino Tanzania (TAS), Kassimu Kirwe na Katibu Mkuu Ziada Nsembo.Katibu Mkuu wa TAS, Ziada Nsembo akizungumza na waandishi wa habari Hawapo pichani...

 

11 years ago

CloudsFM

RAIS KIKWETE MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA SIKU YA JANA

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao kwenye mnara wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika jana katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam.

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Mohamed Ali Shein kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam jana. Wengine ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed...

 

10 years ago

Habarileo

JK mgeni rasmi siku ya albino Arusha

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete anatarajia kuwa mgeni rasmi siku ya Maadhimisho ya Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi (Albino) kitaifa, yatakayofanyika Jumamosi wiki hii, jijini Arusha, kwenye uUwanja wa Shekhe Amri Abeid.

 

9 years ago

Michuzi

Nape Mgeni Rasmi Tuzo Siku Ya Msanii

.Twanga, K-Mondo Muzika, Mafumu Bilal kutoa burudaniWAZIRI wa Habari, Wasanii, Utamaduni, Vijana na Michezo, Nape Nnauye leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tuzo za Siku Ya Msanii zitakazofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho, Posta, Dar es Salaam.
Hii ni mara ya pili kwa tuzo za Siku Ya Msanii kufanyika, ambapo mara ya kwanza zilifanyika mwaka jana kwenye ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.Mwaka huu zitatolewa tuzo nne ikiwa ni nyongeza ya tuzo mbili tofauti za zile za mwaka jana....

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE MGENI RASMI MAADHIMISHO SIKU YA SHERIA

Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Othman Chande (Kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini mwaka 2015. Maadhimisho hayo yanaongozwa na maudhui yasemayo “ Fursa ya kupata haki: wajibu wa Serikali, Mahakama na wadau”. Kushoto ni Mh. Hussein Kattanga, Mtendaji Mkuu wa Mahakama. Msajili Mkuu wa Mahakama, Ignas Kitus (kulia) akizungumza akifafanua jambo wakati Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Othman Chande alipokutana na waandishi wa habari kuzungumzia...

 

11 years ago

GPL

RAIS JAKAYA KIKWETE MGENI RASMI SIKU YA MASHUJAA.‏

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Saidi Meck Sadiki akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa zitakazofanyika kitaifa katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam. Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa katika…

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KUWA MGENI RASMI SIKU YA WANATAALUMA UJERUMANI

Waziri wa Nishati na Madini  Profesa Sospeter Muhongo atakuwa mgeni rasmi katika siku ya wanataaluma itakayofanyika Aprili 26, mwaka huu katika mji wa Berlin, Ujerumani ambapo atazungumzia fursa za uwekezaji Tanzania hususan katika sekta ya mafuta na gesi. 
Profesa Muhongo atatoa mada hiyo ya fursa za uwekezaji nchini ikiwa ni moja ya shughuli zilizopangwa kufanyika katika siku mbili za kongamano la uwekezaji litakalofanyika katika mji wa Berlin, nchini humo mnamo tarehe 25 na 26 Aprili...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA MGENI RASMI SHERHE ZA SIKU YA WALIMU MJINI BUKOBA LEO

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata  maelezo kuhusu mtambo wa kutotoa vifaranga kutoka kwa Mwalimu Deudediti Rwekaza  (kushoto) katika onyesho ya siku ya walimu Duniani iliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba leo  Baadhi ya  walimu walioshiriki katika sherehe za siku ya walimu Duniani wakiimba wimbo maalum wa Walimu kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba ambako sherehe hizo zilifanyika kitaifa leo Sehemu ya waalimu kwenye sherehe hizoWalimu kutoka Simiyu wakiimba katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani