WAZIRI WA NISHATI NA MADINI KUWA MGENI RASMI SIKU YA WANATAALUMA UJERUMANI
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo atakuwa mgeni rasmi katika siku ya wanataaluma itakayofanyika Aprili 26, mwaka huu katika mji wa Berlin, Ujerumani ambapo atazungumzia fursa za uwekezaji Tanzania hususan katika sekta ya mafuta na gesi.
Profesa Muhongo atatoa mada hiyo ya fursa za uwekezaji nchini ikiwa ni moja ya shughuli zilizopangwa kufanyika katika siku mbili za kongamano la uwekezaji litakalofanyika katika mji wa Berlin, nchini humo mnamo tarehe 25 na 26 Aprili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWaziri wa Nishati na Madini azindua rasmi Bodi ya Tanesco Asisitiza siku za kuunganisha umeme kupungua
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFUNGUA RASMI SEMINA YA WACHIMBAJI WADOGO KIBARA, MKOANI MARA
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI NA NAIBU WAKE WAANZA KAZI RASMI KWA KUTEMBELEA MRADI WA UMEME WA KINYEREZI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WKyM3IlQ0Lo/VXhgJiWEEDI/AAAAAAAHehE/ENJaSUJ9Q_8/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA ALBINO ARUSHA
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo,Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda alisema wamepata fursa ya kuwa wenyeji kutokana na kutokua na matukio ya ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na takwimu za mkoa wapo Albino 199.
“Mkoa una jumla ya watu wenye...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1qyvSIiDCsM/VeWJmfbysaI/AAAAAAAH1h0/jDNhnwPTmL8/s72-c/image_1.jpg)
BALOZI SEFUE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI TANZANIA 2015.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1qyvSIiDCsM/VeWJmfbysaI/AAAAAAAH1h0/jDNhnwPTmL8/s640/image_1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Bhm_gzrYnfc/VeWJnNwtmsI/AAAAAAAH1iI/k3uKM1P7P4c/s640/image_3.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7KjmoY7JsHk*M9HorM8ONuID4TyF2l5J1ZWhn*UaD4hgsGdWE-VSImkuvhhHtMyNRP8HV*sl8ITh90r4ex444Uwb/image1.jpg)
BALOZI SEFUE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA WAHANDISI NCHINI TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--1r92oX1rO0/U_X2NS38reI/AAAAAAAGBLY/-ZMZhts9VHo/s72-c/unnamed%2B(89).jpg)
Waziri Mkuu kuwa mgeni rasmi mashindano ya Kimataifa ya Wushu
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya Kimataifa ya mchezo wa Wushu (Kung fu) yatakayofanyika hapa nchi kuanzia tarehe 30 hadi 31 katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
Hayo yamebainishwa na Rais wa Chama cha Mchezo wa Wushu nchini Mwalami Mitete alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Katika taarifa yake Mwalami alisema kuwa mashindano hayo yatajumuisha...