Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nasari ataka mashine za EFD zinunuliwe China

MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari (Chadema), amehoji Serikali kwa nini isinunue mashine za kieletroniki (EFD) nchini China ambako zinauzwa kwa bei nafuu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nassari: Serikali inunune mashine za EFD China

MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA), ameihoji serikali ni kwanini isinunue mashine za kieletroniki (EFD) nchini China ambako zinauzwa kwa bei ndogo. Nassari amehoji hatua hiyo bungeni jana alipokuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wafunguka mashine za EFD

HIVI karibuni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) chini ya Idara ya Elimu kwa Mlipa Kodi Mkoa wa Temeke, Dar es Salaam, waliendesha semina ya siku tatu kwa wafanyabiashara. Lengo lilikuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA: Mashine za EFD haziepukiki

WAKATI wafanyabiashara maeneo mbalimbali nchini wakiendelea na mgomo kupinga kununua mashine za EFDs, Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini, (TRA), Rished Bade, amesisitiza kuwa mashine hizo haziepukiki na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara wazijadili mashine za EFD’s

KATIBU wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Sued Chemuchemu, amesema matumizi ya mashine za EFD’s ni  kandamizi kwa wafanyabiashara kwa sababu wakati wa kutungwa kwa sheria ya matumizi yake hakuna mfanyabiashara...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hatujakataza matumizi mashine za EFD’

UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiasha nchini (JWT) umesema haujawakataza wafanyabiashara kutumia mashine za kielektroniki za EFD bali wanachohitaji ni maboresho katika mashine hizo. Akizungumza na Tanzania Daima  jijini Dar es...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyabiashara Washauriwa Kutumia Mashine za EFD

Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
Kampuni ya COMPULYNX Tanzania inayoshughulika na usambazaji wa mashine za Electronic Fiscal Device (EFD) imewashauri wafanya biashara nchini kutumia mashine hizo ipasavyo kwani husaidia kukuza pato la Taifa.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bw Sailesh Savani wakati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Wafanyabiashara wasiwe waoga kutumia mashine za EFD kwani huleta uhalali wa pande zote mbili ikiwemo Serikali...

 

11 years ago

GPL

MWANZA, MORO NAO WAGOMEA MASHINE ZA EFD

Wafanyabiashara jijini Mwanza na mkoani Morogoro nao wamefunga maduka leo ikiwa ni muendelezo wa kupinga matumizi ya Mashine za Elektroniki za Kutolea Risiti (EFD). Tayari, wafanyabiashara miji ya Iringa, Songea na Mara wametoa msimamo wa kugomea matumizi ya mashine hizo na kuazimia kufunga biashara zao kama njia ya kupinga matumizi yake. Jijini Dar wafanyabiashara wa maduka ya Kariakoo bado wameendelea na mgomo huo ulioanza jana....

 

11 years ago

Tanzania Daima

MASHINE ZA EFD: Tulipe kodi, serikali iwajibike

SERIKALI zote duniani huendeshwa kwa mapato. Kama hazina mapato zinakuwa zimefilisika na kuingia kwenye orodha ya mataifa yaliyofilisika. Kufilisika kwa taifa huja kwa viashiria vingi sana, kwanza serikali kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali isirudi nyuma kuhusu mashine za EFD

Tumeendelea kushuhudia vitimbi na migomo inayofanywa na wafanyabiashara jijini Dar es Salaam na katika mikoa mbalimbali nchini, ikiwamo Mwanza na Morogoro. Lengo la wafanyabiashara hao ni kugomea matumizi ya mashine za kielektroniki za kutolea risiti (EFD) zinazotumiwa kutambua kiasi cha kodi kinachopaswa kutozwa kwa kila mfanyabiashara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani