NATO kuongeza nguvu Mashariki mwa Ulaya
Majeshi ya Nato yanatarajiwa kutangaza mpango wa kuongeza nguvu Mashariki mwa Ulaya kufuatia mapigano nchini Ukraine
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
30 wauawa Mashariki mwa DRC
Takriban watu 30 wakiwemo watoto na wanawake wameuawa katika mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nbC33rr0y_I/U4dR2UQhE-I/AAAAAAAFmNE/9Tv-bEEcVqo/s72-c/Stars+Lions+Photo.jpg)
SAMATA, ULIMWENGU KUONGEZA NGUVU STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-nbC33rr0y_I/U4dR2UQhE-I/AAAAAAAFmNE/9Tv-bEEcVqo/s1600/Stars+Lions+Photo.jpg)
Taifa Stars itacheza na Zimbabwe (Mighty Warriors) katika mechi ya marudiano raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Morocco. Mechi hiyo itachezwa Jumapili (Juni 1 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Harare.
Samata na Ulimwengu...
11 years ago
Habarileo31 Dec
Vinywaji vya kuongeza nguvu ni hatari
VINYWAJI baridi vyenye lengo la kuongeza nguvu vinadaiwa kuwa hatari kwa afya ya watumiaji baada ya kubaini baadhi ya kemikali husababisha madhara mwilini.
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Kashfa ya dawa za kuongeza nguvu 2014
Chama cha riadha Tanzania kimesema mwaka 2014 umekuwa na mafanikio katika kudhibiti utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu michezoni .
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Mila ya ukeketaji mashariki mwa DR Congo
Umoja wa mataifa unasema wanawake na wasichana milioni mia moja thelathini mashariki ya kati na barani Afrika wamekeketwa
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Mapigano yatakoma Mashariki mwa Ukraine?
Ujerumani,Urusi na Ukraine zimejadili kwa simu zikiwa ni jitihada za kuhakikisha makubaliano ya kukomesha mapigano yanafanikiwa
10 years ago
BBCSwahili05 Feb
Hali ya Mashariki mwa Ukraine ni tete
Hali ya Mashariki mwa Ukraine yaelezwa kuwa mbaya,Raia waathirika
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Watu 40 wauawa Mashariki mwa DRC
Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasema kuwa raia 40 wameuawa kwenye mapigano mjini Kamango
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Watu 70 wauawa Mashariki mwa Congo-UM
Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya watu 70 waliuawa mwisho wa mwezi uliopita na mapema mwezi huu Mashariki mwa DRC.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania