Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATO kuongeza nguvu Mashariki mwa Ulaya

Majeshi ya Nato yanatarajiwa kutangaza mpango wa kuongeza nguvu Mashariki mwa Ulaya kufuatia mapigano nchini Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

30 wauawa Mashariki mwa DRC

Takriban watu 30 wakiwemo watoto na wanawake wameuawa katika mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.

 

11 years ago

Michuzi

SAMATA, ULIMWENGU KUONGEZA NGUVU STARS

Klabu ya TP Mazembe imewaruhusu wachezaji wake Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu kujiunga na timu ya Taifa (Taifa Stars) ambayo tayari imewasili Harare, Zimbabwe kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika.
Taifa Stars itacheza na Zimbabwe (Mighty Warriors) katika mechi ya marudiano raundi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika zitakazofanyika mwakani nchini Morocco. Mechi hiyo itachezwa Jumapili (Juni 1 mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Harare.
Samata na Ulimwengu...

 

11 years ago

Habarileo

Vinywaji vya kuongeza nguvu ni hatari

VINYWAJI baridi vyenye lengo la kuongeza nguvu vinadaiwa kuwa hatari kwa afya ya watumiaji baada ya kubaini baadhi ya kemikali husababisha madhara mwilini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kashfa ya dawa za kuongeza nguvu 2014

Chama cha riadha Tanzania kimesema mwaka 2014 umekuwa na mafanikio katika kudhibiti utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu michezoni .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mila ya ukeketaji mashariki mwa DR Congo

Umoja wa mataifa unasema wanawake na wasichana milioni mia moja thelathini mashariki ya kati na barani Afrika wamekeketwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano yatakoma Mashariki mwa Ukraine?

Ujerumani,Urusi na Ukraine zimejadili kwa simu zikiwa ni jitihada za kuhakikisha makubaliano ya kukomesha mapigano yanafanikiwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Hali ya Mashariki mwa Ukraine ni tete

Hali ya Mashariki mwa Ukraine yaelezwa kuwa mbaya,Raia waathirika

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 40 wauawa Mashariki mwa DRC

Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasema kuwa raia 40 wameuawa kwenye mapigano mjini Kamango

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 70 wauawa Mashariki mwa Congo-UM

Umoja wa Mataifa umesema kuwa zaidi ya watu 70 waliuawa mwisho wa mwezi uliopita na mapema mwezi huu Mashariki mwa DRC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani