Nauli ya mabasi yawaliza wanafunzi wa bweni mkoani Tanga
Wanafunzi wanaosoma shule za bweni mkoani hapa, wameitaka Serikali kuweka utaratibu maalumu utakaoainisha nauli wanazopaswa kuzilipa katika mabasi makubwa ya mikoani kama ilivyo kwa daladala.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Nauli za mabasi mikoani zashuka
10 years ago
Habarileo19 Mar
Wamiliki wa mabasi wacharukia nauli
WAKATI wadau wa usafiri nchini wakipendekeza kushuka kwa nauli za daladala na mabasi yaendayo mikoani, wamiliki wa mabasi wametishia kufuta utaratibu wa kutowatoza nauli askari na kuongeza kuwa, hata nauli pungufu za wanafunzi sasa zitakuwa historia.
10 years ago
Habarileo19 Feb
Nauli za mabasi hazitabadilishwa-Sumatra
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imeshikwa kigugumizi kuhusu suala la kushusha nauli ya magari ya abiria kwa kutoa sababu za kisheria pamoja na ukokotoaji wa tozo.
10 years ago
VijimamboSUMATRA YASHUSHA NAULI ZA MABASI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s72-c/IMG-20150409-WA0024.jpg)
BREAKING NYUZZZZ....: MABASI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO LEO MAENEO YA MKATA MKOANI TANGA, WATU ZAIDI YA 10 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-elmlo1iK0Gs/VSZgYZMBwxI/AAAAAAAHPxQ/FxK2BTZ8Xz0/s1600/IMG-20150409-WA0024.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jhhmIFp9GXc/VSZgkqyZGZI/AAAAAAAHPxg/NRZg2K9OCi0/s1600/IMG-20150409-WA0012.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Sumatra yakomaliwa ishushe nauli za mabasi
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Nauli za mabasi ya DART kujadiliwa keshokutwa
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Wanafunzi Njombe wateketeza bweni
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Nauli mabasi ya mwendo kasi Sh1,200
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
KAMPUNI ya UDA-RT imependekeza nauli kubwa itakayotozwa na mabasi ya mwendo kasi, ambayo imezua malalamiko Mapendekezo hayo yanaonesha kuwa nauli itakuwa Sh 1,200 kwa safari za njia kuu, Sh 700 njia za pembeni na Sh 1,400 njia kuu pamoja na njia ya pembeni, huku wanafunzi wakitakiwa kulipa nusu nauli ya mtu mzima.
Hata hivyo nauli hizo zimepingwa na kwamba mjadala mkali unatarajiwa kuibuka leo, wakati Mamlaka ya Udhibiti,Usafiri wa Nchi Kavu na Majini...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10