Navy Kenzo na Patoranking katika spika zako ‘soon’
Kundi la muziki linalofanya vizuri na wimbo wake Game, Navy Kenzo, limesema lipo kwenye maandalizi ya mwisho ya kufanya kolabo na msanii wa Nigeria, Patoraking.
Mmoja wa wasanii wanaounda kundi hilo, Aika ameiambia Bongo5 kuwa kila kitu kiko poa.
“Kila kitu kinaenda sawa, sasa hivi tunajipanga kufanya kolabo na Patoranking,” amesema. “Pia kuna msanii mmoja wa nje ambaye alitutumia ngoma anaitwa Jizzy anataka tufanye remix ya wimbo wake, original alifanya na Ice Prince. Kwahiyo mashabiki...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t29_JKUpVCQ/VokYRlMhAdI/AAAAAAAIQEE/PyLa2saPTk8/s72-c/d9ebc67c-9dd6-4fe9-8867-b3599b9926f3.jpg)
Navy Kenzo katika Chat ya Video 50 Bora za MTV Base Africa Zilizofanya Vizuri mwaka 2015..
![](http://1.bp.blogspot.com/-t29_JKUpVCQ/VokYRlMhAdI/AAAAAAAIQEE/PyLa2saPTk8/s400/d9ebc67c-9dd6-4fe9-8867-b3599b9926f3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Jan
Navy Kenzo washika #4 katika Video 50 zilizobamba zaidi MTV Base mwaka 2015, wampita Diamond Platnumz
Kundi la Mziki la Navy Kenzo Linaloundwa na Aika na Nahreel wametutoa kimasomaso Watanzania Baada ya Video yao ya Wimbo wa Game Walioshirikiana na Vanessa Mdee Kushika Namba Nne katika Chat ya Video 50 Bora za MTV Base Africa Zilizofanya Vizuri mwaka 2015.
Diamond Platnumz na Wimbo wake wa Nana umeshika namba 5 Katika Chat hizo, Wimbo huo wa Nana Pia Umetengenezwa na Producer Nahreel Kitu kinachomfanya Aendelee kuwa Producer Bora zaidi Kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5PrLRxDgyDk/Vof_MQ-zIXI/AAAAAAAA74A/fL_GLfDyk7g/s72-c/Navy-Kenzo.jpg)
Kundi la Muziki la Navy Kenzo Lashika Namba Nne Katika Video 50 Zilizobamba Zaidi MTV Base Mwaka 2015, Wampita Diamond Platnumz
![](http://2.bp.blogspot.com/-5PrLRxDgyDk/Vof_MQ-zIXI/AAAAAAAA74A/fL_GLfDyk7g/s640/Navy-Kenzo.jpg)
Diamond Platnumz na Wimbo wake wa Nana umeshika namba 5 Katika Chat hizo, Wimbo huo wa Nana Pia Umetengenezwa na Producer Nahreel Kitu kinachomfanya Aendelee kuwa Producer Bora zaidi Kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa...
9 years ago
Mtanzania01 Oct
Navy Kenzo wagombewa kimataifa
NA SHARIFA MMASI
PRODYUZA na msanii wa Bongo Fleva, Nahreel na Aika Mareale, wanaounda kundi la Navy Kenzo, wamesema wamepokea maombi ya idadi kubwa ya wasanii wa kimataifa wanaotaka kufanya nao kazi.
Nareal alisema kwamba, maombi hayo kutoka kwa wasanii hao ambao hakutaka kuwaweka wazi kwa kuwa bado hawajakamilisha makubaliano yao yametokana na kufanya vizuri kwa video ya wimbo wao wa ‘Game’ waliomshirikisha Vanessa Mdee.
Nahreel aliongeza kwamba, video ya wimbo huo imekuwa ikichezwa katika...
10 years ago
Bongo525 Nov
9 years ago
Mtanzania16 Sep
Navy Kenzo gumzo Nigeria
NA CHRISTOPHER MSEKENA
KUNDI la Navy Kenzo linaloundwa na wapenzi, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ na Aika Mareale ‘Aika’ limekuwa gumzo nchini Nigeria kutokana na wimbo wao wa ‘Game’ waliomshirikisha Vanessa Mdee kupigwa mara kwa mara katika redio na televisheni za huko.
Nahreel alisema amekuwa akipokea simu kutoka kwa watangazaji wa vituo mbalimbali vya redio na runinga vya nchini humo kwa ajili ya mahojiano, huku wengine wakimpongeza kwa wimbo huo unaofanya vizuri nchini humo.
“Wanadai ‘audio’...
11 years ago
Bongo510 Jul
New Video: Navy Kenzo — Chelewa
11 years ago
GPLNAVY KENZO WATINGA GLOBAL TV ONLINE