NDC kujenga kiwanda Ziwa Natron
SHIRIKA la Maendeleo la Taifa (NDC) limeanza mchakato wa kupata wazabuni kwa ajili ya ujenzi wa viwanda vya uzalishaji magadi soda kwenye Ziwa Natron na Bonde la Engaruka. Viwanda hivyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eNIJGM8CpQs/XutMjQddinI/AAAAAAALubw/rJuO_P9THmAH3_oJ6A2jRAI7RqbSyoeKQCLcBGAsYHQ/s72-c/Mkenda.jpg)
SERIKALI YAPELEKA WATAALAM KUWEKA MIPAKA YA KUWA NA PORI LA AKIBA ZIWA NATRON
Akizungumza kwa simu na mtandao huu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Profesa Adolf Mkenda, alisema serikali bado haijatangaza eneo hilo kuwa Pori la Akiba bali kinachoendelea kwa sasa ni kamati ya wataalamu kukutana na viongozi wa vijiji na watu wengine ili kukubaliana kwa pamoja.
Katibu Mkuu...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rUuI2pM78zA/ViFBKAq_uZI/AAAAAAAIAZ4/psKPWMSNWB8/s72-c/IMG-20151016-WA0035.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ylRLgMHpTcA/XvZCmRwr8EI/AAAAAAALvnc/QgcLN_kacL0oEZfEdbroD83JotYXF9xHQCLcBGAsYHQ/s72-c/Image-1AAAAAAAAAAAAAAAAA-768x513.jpg)
KIGWANGALLA AKUTANA NA WAWAKILISHI WA WANANCHI KUJADILI UANZISHWAJI WA PORI LA AKIBA NA WMAYA ZIWA NATRON
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylRLgMHpTcA/XvZCmRwr8EI/AAAAAAALvnc/QgcLN_kacL0oEZfEdbroD83JotYXF9xHQCLcBGAsYHQ/s640/Image-1AAAAAAAAAAAAAAAAA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Image-2AAA-1024x684.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
MAAFISA WASHIRIKI KUTOKA CHUO CHA ULINZI WA TAIFA(NDC) WATEMBELEA KIWANDA CHA GEREZA KUU UKONGA JIJINI DSM
![](https://1.bp.blogspot.com/-5MEa7fk6GFE/XkVggmQTX3I/AAAAAAALdP4/vC4eEfE45hAz6UNsALngcA3EVM5RA00xACLcBGAsYHQ/s640/PIX-3-1AAA-1-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/PIX-4-1AA-1018x1024.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Wakorea kujenga kiwanda Dar
KAMPUNI kubwa ya kuoka mikate na bidhaa nyingine za ngano nchini Korea Kusini, Rapang, ina mpango wa kujenga kiwanda kikubwa cha mikate jijijni Dar es Salaam na vituo vya mauzo sehemu mbalimbali nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari kutoka Tanzania mjini Daegu mwishoni mwa wiki, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Rapang, Byoung-Hee Choi, alisema Tanzania itakuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuwa na kiwanda cha namna hiyo.
“Mipango hii itatekelezwa ndani ya muda mfupi ujao na baada ya...
10 years ago
VijimamboMAMLAKA YA BANDARI KUJENGA MELI ZIWA NYASA
Kufuatia adha ya usafiri wa majini inayowakabili wakazi waishio katika fukwe za Ziwa Nyasa, Mamlaka ya Bandari Tanzania kupitia kituo chake cha Kyela ipo mbioni kujenga meli ya abiria na mizigo ili kuwahudumia wakazi hao.
Hayo yaliwekwa bayana na Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema wakati timu wakaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Tume ya Mipango ilipotembelea na kukagua bandari za Itungi na Kiwira zilizopo wilaya ya Kyela, mkoani Mbeya.
Bw....
9 years ago
Habarileo07 Oct
Magufuli amshawishi Mo kujenga kiwanda Singida
MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli amemshawishi aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida Mjini, Mohammed Dewji, kujenga kiwanda mkoani humo, ili pamoja na mambo mengine, kupunguza uhaba wa ajira.