Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege iliyopotea kuendelea kutafutwa

Shughuli ya kutafuta ndege ya AirAsia ambayo ilipotea jana Jumapili imeendelea leo tena baada ya zoezi hilo kusitishwa kwa muda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI

Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur.  Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Malaysia Kutafutwa eneo lipya

Australia imeanza kutafuta mabaki ya ndege ya Malaysia katika eneo lipya baada ya kupata habari za kuaminika

 

11 years ago

BBCSwahili

Picha ya 'mabaki ya ndege' iliyopotea

Kuna taarifa kuwa China imeanza kuchunguza picha mpya ya kitu kama mabaki ya ndege ya Malaysia iliyopotea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege iliyopotea: Utafutaji wachelewa

Hali mbaya ya hewa imechelewesha zoezi la anga na majini la utafutaji wa ndege ya AirAsia aliyoanguka ikiwa na watu 162.

 

10 years ago

StarTV

Ndege iliyopotea, Utafutaji waendelea.

Zoezi la anga na majini la utafutaji wa ndege ya AirAsia aliyoanguka ikiwa na watu 162 baada ya kuwepo kwa dhoruba katika pwani ya eneo la Borneo siku ya jumapili imeendelea.

Maafisa wa Indonesia wanasema japo zoezi hilo limeendelea lakini linakabiliwa na upinzani kutokana na hali mbaya ya hewa.

Kufuatia kupatikana kwa vipande vya mabaki ya ndege hiyo siku ya jumannne, kiongozi wa taasisi ya uokoaji na utafutaji amesema miili mitatu imepatikana hadi sasa kutoka katika eneo la bahari ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Malaysia kuitafuta ndege iliyopotea tena

Malaysia imeanza awamu nyingine ya kuisaka ndege yake iliyopotea MH-370 kusini mwa bahari ya Hindi.

 

11 years ago

GPL

NDEGE ILIYOPOTEA IMEANGUKIA BAHARI YA HINDI

Waziri Mkuu wa Malaysia Najib Razak akitangaza leo juu ya utafiti wa rada kuonyesha kuwa ndege iliyopotea imeangukia katika bahari ya Hindi.…

 

11 years ago

Michuzi

Ndege ya MH370 ya Malaysia iliyopotea,ilibadili mkondo


Ndege ya Malaysia iliyotoweka Mkuu wa jeshi la anga la Malaysia, amekanusha madai kuwa ndege ya Malaysia iliyotoweka, ilionekana mara ya mwisho Magharibi ya rasi ya nchi hiyo, eneo ambalo ni mbali zaidi na njia iliyostahili kupita.

Generali Rodzali Daud, amesema kuwa hawawezi kupuuza uwezekano huo, lakini amesema madai kuwa mawasiliano ya ndege hiyo yalinaswa na mtambo wa radar katika eneo hilo sio kweli.
Amesema mawasiliano ya mwisho ya ndege hiyo iliyokuwa ikitoka Kuala Lumpur kuelekea...

 

11 years ago

GPL

MCHUMBA WA RUBANI WA NDEGE ILIYOPOTEA AJICHIMBIA HOTELINI

Mchumba wa Fariq Abdul Hamid, Nadira Ramli. Mmoja wa rubani wa ndege ya Malaysia iliyopotea, Fariq Abdul Hamid.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani