Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NDEGE ILIYOTAKIWA KUPELEKA ASKARI GARISSA ILIKUWA INATUMIWA KIFAMILIA

Ndanu Munene Mbithi (aliyevaa njano) ambaye ni mtoto wa Kammanda Rogers Mbithi, akiwa na rafiki zake kwenye ndege ya Jeshi la Polisi la Kenya. NDEGE ya jeshi la anga la polisi nchini Kenya ambayo ilikuwa itumike kupeleka askari kwenye Chuo Kikuu cha Garissa wakati mauaji ya kigaidi yanaendeshwa dhidi ya wanafunzi, ilikuwa iko Mombasa ikitumiwa kwa mambo binafsi na kamanda wa jeshi hilo, Rogers Mbithi. Sehemu ya ndani ya ndege...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Ilikuwa ajali au ndege ilidunguliwa?

Ndege ya Malaysia iliyoanguka Alhamsi ilikuwa imewabeba abiria 298.Inadaiwa kudunguliwa na wapiganaji wa Ukraine

 

10 years ago

Bongo5

Ndege ya shirika la AirAsia yapotea, ilikuwa na watu 162

Ndege ya shirika la AirAsia Indonesia iliyokuwa ikisafiri kutoka Indonesia kwenda Singapore ikiwa na watu 162 ndani yake imepotea. Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200, ilipotea katikati ya safari yake zaidi ya masaa mawili kutoka mji wa Surabaya. Hali mbaya ya hewa iliripotiwa kutoka kwenye eneo hilo na shughuli za uokozi zimesitishwa hadi Jumatatu asubuhi. […]

 

5 years ago

Michuzi

ASKARI ZIMAMOTO KIWANJA CHA NDEGE DODOMA KUJENGEWA UWEZO KATIKA KUKABILIANA NA MAJANGA


 Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Zimamoto na Uokoaji (ACF) Gilbert Mvungi, akizungumza na Maafisa na Akari wa Jeshi hilo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo Maafisa na Akari wa Kiwanja cha Ndege Jijini Dodoma. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ofisi za Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Kiwanja cha Ndege jijini Dodoma na kuratibiwa na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege nchini (TAA) kwa kushirikiana na Jeshi la...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema: Ofisi ya Msajili inatumiwa

>Mvutano mpya umeibuka baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumvaa Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi kikidai ofisi yake inatumiwa na wasaliti wa chama hicho.

 

5 years ago

BBCSwahili

William Ruto: Naibu wa rais Kenya adai idara ya jinai 'inatumiwa' kumkabili kisiasa

Naibu wa rais wa Kenya William Ruto amesema kwamba Idara ya jinai nchini Kenya inatumika kumkabili kisiasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Madiba na maisha ya kifamilia

Wakati Nelson Mandela anaongoza Afrika Kusini dhidi ya ubaguzi wa rangi na baadaye kuwa kiongozi maarufu duniani baada ya kutoka jela, inabidi tujiulize ni watu gani ambao walikuwa karibu naye kifamilia, kiroho na kuumia naye na waliomfahamu zaidi ya wote?

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Squeezer: Nilikuwa kimya kwa sababu za kifamilia

Rapper Squeezer amewataka mashabiki wake wasiwe na wasiwasi kuwa hatokaa kimya kwa muda mrefu tena. Akiongea na show ya Planet Bongo ya East Africa Radio, rapper huyo mwenye sauti nzito amesema sababu iliyomweka pembeni kwa muda ni kuweka sawa mambo ya kifamilia ambapo kaka kaka mkubwa alikuwa busy baada ya msiba wa baba yake. “Bahati […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani