Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ilikuwa ajali au ndege ilidunguliwa?

Ndege ya Malaysia iliyoanguka Alhamsi ilikuwa imewabeba abiria 298.Inadaiwa kudunguliwa na wapiganaji wa Ukraine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Misri: Hakuna ushahidi ndege ya Urusi ilidunguliwa

Misri imesema kuwa haijapata ushahidi wowote kuwa ndege ya Urusi iliyoanguka katika rasi ya Sinai na kuua watu 224 ililipuliwa.

 

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

10 years ago

Bongo5

Ndege ya shirika la AirAsia yapotea, ilikuwa na watu 162

Ndege ya shirika la AirAsia Indonesia iliyokuwa ikisafiri kutoka Indonesia kwenda Singapore ikiwa na watu 162 ndani yake imepotea. Ndege hiyo aina ya Airbus A320-200, ilipotea katikati ya safari yake zaidi ya masaa mawili kutoka mji wa Surabaya. Hali mbaya ya hewa iliripotiwa kutoka kwenye eneo hilo na shughuli za uokozi zimesitishwa hadi Jumatatu asubuhi. […]

 

11 years ago

GPL

AJALI YA PIKIPIKI, TITO ILIKUWA AFE

AJALI mbaya aliyoipata msanii wa filamu, Tito Zimbwe hivi karibuni ilikuwa imfanye apoteze maisha yake kutokana na namna ilivyotokea. Akizungumza na Ijumaa, rafiki wa karibu wa msanii huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema, ajali aliyoipita Tito kupona kwake ilikuwa ni Mungu tu kwani waliomuokoa walisema ameponea kwenye tundu la sindano. “Aisee ilikuwa ni ajali mbaya sana, ilikuwa mida ya saa tano usiku, alikuwa...

 

10 years ago

GPL

NDEGE ILIYOTAKIWA KUPELEKA ASKARI GARISSA ILIKUWA INATUMIWA KIFAMILIA

Ndanu Munene Mbithi (aliyevaa njano) ambaye ni mtoto wa Kammanda Rogers Mbithi, akiwa na rafiki zake kwenye ndege ya Jeshi la Polisi la Kenya. NDEGE ya jeshi la anga la polisi nchini Kenya ambayo ilikuwa itumike kupeleka askari kwenye Chuo Kikuu cha Garissa wakati mauaji ya kigaidi yanaendeshwa dhidi ya wanafunzi, ilikuwa iko Mombasa ikitumiwa kwa mambo binafsi na kamanda wa jeshi hilo, Rogers Mbithi. Sehemu ya ndani ya ndege...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video)

Bondia wa zamani mbabe aliyeweka rekodi za nguvu kwenye mchezo wa ngumi, Mike Tyson ameamua tu kutuonesha kwamba kama huwezi kutembelea hoverboard, basi wewe achana nazo tuu hata usijaribu kucheza nazo. Hii video aliipost Mike Tyson kwenye ukurasa wake Instagram ambapo kuna sauti ya mtoto wa kike inaonekana kama anamuonya hivi kwamba ataanguka, lakini Mike […]

The post Kama hukuona ajali ya Mike Tyson kwenye hoverboard yake, basi ilikuwa hivi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mh17 ilidunguliwa

ndege ya Malaysia ilikumbwa na kitu chenye ncha na kugongwa mara kadhaa na vifaa vyenye mionzi mikali ndio chanzo cha ajali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Lufthansa yaponea ajali

Ndege ya kampuni ya Ujerumani ya Lufthansa imenusurika na ajali baada ya kuepuka kugongana na ndege isiyokua na rubani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani