Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege ya Lufthansa yaponea ajali

Ndege ya kampuni ya Ujerumani ya Lufthansa imenusurika na ajali baada ya kuepuka kugongana na ndege isiyokua na rubani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK

Ndege ya shirika la ndege la Delta leo AlhamisI March 5, 2015 imepata ajali ya kuteleza kwenye theluji ilipokua ikitua kwenye uwanja wa ndege wa LaGuardia wa New York, ndege hiyo iliyokua ikitokea Atlanta iliacha njia na kugonga uzio wa seng'enge ya waya kama inavyoonekana kwenye picha na msemaji wa zima moto ameripoti hakuna mtu aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokua baadhi ya ya abiria wamepata majeraha ya kawaida na walikimbizwa hospitali kwa matibabu na kwa sasa uwanja huo umefungwa kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msichana anusurika ajali ya ndege

Mtoto wa miaka saba ametembea hadi katika nyumba moja katika jimbo la Kentucky nchini Marekani kuripoti ajali ya ndege aliyoabiri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ilikuwa ajali au ndege ilidunguliwa?

Ndege ya Malaysia iliyoanguka Alhamsi ilikuwa imewabeba abiria 298.Inadaiwa kudunguliwa na wapiganaji wa Ukraine

 

11 years ago

Habarileo

Mapya yaibuka ajali ya ndege

TAKRIBANI mashuhuda wanane wameiambia Serikali ya Malasyia kuwa waliiona ndege ya Malaysia, MH 370, saa moja kabla haijapotea angani kupitia rada ya uraiani. Maelezo hayo yanaashiria kuwa ndege hiyo iligeuka kabla ya kupotea angani.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri anusurika ajali ya ndege

Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Abubakari Khamis Bakar, abiria na marubani wawili wamenusurika kifo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupata ajali.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA NDEGE YAUA 48 IRAN

Ndege ya Iran iliyoanguka na kuua watu 48 leo asubuhi. WATU 48 wamefariki dunia baada ya ndege ndogo ya abiria waliyokuwemo kuanguka katika makazi ya watu jirani na Uwanja wa Ndege wa Mehrabad uliopo magharibi mwa mji wa Tehran nchini Iran leo asubuhi. Ndege hiyo mali ya kampuni ya Taban Air ilikuwa inaelekea katika Jiji la Tabas.

 

11 years ago

GPL

AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN

Taswira kutoka eneo la ajali. Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio. TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan, nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu 58 imeanguka eneo la Kaohsiung,…

 

11 years ago

IPPmedia

Waziri anusurika kifo ajali ya ndege

Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakari Khamis Bakari, pamoja na abiria 17 wamenusurika kifo, baada ya ndege ya shirika la ndege la 'Zan air' waliyokuwa wanasafiria kupata matatizo ya breki na kusererekea vichakani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa US wafariki ajali ya ndege Afghanistan

Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki baada ya ndege ya kijeshi ya nchi hiyo aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani