Ndege ya Lufthansa yaponea ajali
Ndege ya kampuni ya Ujerumani ya Lufthansa imenusurika na ajali baada ya kuepuka kugongana na ndege isiyokua na rubani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
10 years ago
BBCSwahili03 Jan
Msichana anusurika ajali ya ndege
Mtoto wa miaka saba ametembea hadi katika nyumba moja katika jimbo la Kentucky nchini Marekani kuripoti ajali ya ndege aliyoabiri.
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Ilikuwa ajali au ndege ilidunguliwa?
Ndege ya Malaysia iliyoanguka Alhamsi ilikuwa imewabeba abiria 298.Inadaiwa kudunguliwa na wapiganaji wa Ukraine
11 years ago
Habarileo13 Mar
Mapya yaibuka ajali ya ndege
TAKRIBANI mashuhuda wanane wameiambia Serikali ya Malasyia kuwa waliiona ndege ya Malaysia, MH 370, saa moja kabla haijapotea angani kupitia rada ya uraiani. Maelezo hayo yanaashiria kuwa ndege hiyo iligeuka kabla ya kupotea angani.
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri anusurika ajali ya ndege
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Abubakari Khamis Bakar, abiria na marubani wawili wamenusurika kifo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupata ajali.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8bD62HksPjeUsRCYdxY7TRQE5jlBKFfBt7Qbk6m7EbRbVXvZDtnxnLS2T9KWdqpiMFaqSb3Sb4q*7ECMfAV9jriFoFXfYAs/ndege.jpg?width=650)
AJALI YA NDEGE YAUA 48 IRAN
Ndege ya Iran iliyoanguka na kuua watu 48 leo asubuhi. WATU 48 wamefariki dunia baada ya ndege ndogo ya abiria waliyokuwemo kuanguka katika makazi ya watu jirani na Uwanja wa Ndege wa Mehrabad uliopo magharibi mwa mji wa Tehran nchini Iran leo asubuhi.
Ndege hiyo mali ya kampuni ya Taban Air ilikuwa inaelekea katika Jiji la Tabas.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7GMbnm2K6fm54*Z0jDqqlfeb-2RbeiKPIYxCm0u7tTXdBIO0usZKk3-dbV6UkXmAS4QNpKlnojDa7G-fD6j4B3/a.jpg)
AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
Taswira kutoka eneo la ajali. Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio. TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan, nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu 58 imeanguka eneo la Kaohsiung,…
11 years ago
IPPmedia26 Jan
Waziri anusurika kifo ajali ya ndege
Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar, Abubakari Khamis Bakari, pamoja na abiria 17 wamenusurika kifo, baada ya ndege ya shirika la ndege la 'Zan air' waliyokuwa wanasafiria kupata matatizo ya breki na kusererekea vichakani.
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Wanajeshi wa US wafariki ajali ya ndege Afghanistan
Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki baada ya ndege ya kijeshi ya nchi hiyo aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania