Ndege warukao kutoka Hifadhi ya Taifa ya Kitulo hadi Ulaya
Hifadhi ya Taifa Kitulo ndiyo eneo pekee Tanzania lenye ndege aina ya tandawala machaka (Denhams Bustard) wenye uwezo wa kuruka kutoka bara moja hadi jingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi03 Sep
HIFADHI YA TAIFA YA KITULO MAKETE YAZIDI KUJIIMARISHA ZAIDI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GijynlmN97EoO5nHMhgJW3UfBZYw3Ryryk2RkxbgKpqWzQ6UN4EvmOGI9o6Kgm5wF504XgKKfWOkhAQZM7RurCOqMg9Sqlecz9ZSp3OQDaujuy3eYxkMSlsqmGxty-VchPAghNOgV7gI4FqKPx4HnB92q8EatuwobP5_G8HE8GL1Xj23X8w1FGGP_I2AjX5pGGK00Wlfvom1R1ZteCdW4NyHUjNeXgX5kVgLoMCpWUuB9WLbD19Ss-DeZl1FLgmrJQ5Z36hdBDiGiqQFIFyvGPHX-bQRJnG6s4gDqUI6MKN77CQfqpNn4IxxtwidDPaZ-AZbLPGiYo0qFkXuZMrof4I=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-1rkneq_rwbk%2FVAYrkZRboKI%2FAAAAAAAAPu8%2FdU-vetqS6vE%2Fs1600%2FIMG_0903-.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Hifadhi ya Kitulo na vivutio vya maua
SEPTEMBA 16, 2005 serikali ililitangaza rasmi eneo la Kitulo kuwa Hifadhi ya Taifa. Hifadhi hii ni muhimu katika kuchangia ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi kwa taifa letu. Kitulo ambayo awali...
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Hifadhi za Taifa kuanzisha shirika la ndege
Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa miezi mitatu kwa Msajili wa Hazina kuratibu na kusimamia uanzishwaji wa shirika jipya la ndege litakaloendeshwa na mamlaka za hifadhi za taifa ili kutoa huduma kwa abiria na watalii.
Mamlaka hizo ni Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA).
Akizungumza na wadau katika kikao cha majadiliano kilichofanyika jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe, alisema...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Hifadhi ya Kitulo kuongezwa vivutio vya farasi na baiskeli
HIVI sasa ni Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, lakini awali eneo hilo lilijulikana kwa jina la Elton Plateau, lililovumbuliwa na Fredrick Elton mwaka 1870. Kutokana na umuhimu wa eneo hilo...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Lzp9UGUBoz0/Vf_WiryturI/AAAAAAADYzs/lSMVb4HV04M/s72-c/486.jpg)
TAAARIFA KWA UMMA KUTOKA HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA KUHUSU MOTO UNAOUNGUZA SEHEMU YA MLIMA MERU
![post-feature-image](http://2.bp.blogspot.com/-Lzp9UGUBoz0/Vf_WiryturI/AAAAAAADYzs/lSMVb4HV04M/s640/486.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z6Of3PNhWMw/Vf_YV2fzYhI/AAAAAAADY0A/fl3oUiDZcjo/s1600/index.jpg)
Wananchi wapatao 200 kutoka vijiji jirani vya Olosinoni na Kisimiri Juu wakishirikiana na TANAPA wamefanikiwa kuudhibiti moto huo ili usiweze kuleta madhara makubwa kwa binadamu hususan wageni wanaotembelea hifadhi kwa lengo la kupanda...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Hatimaye vijana wanaosafiri kwa Baiskeli Kutoka Mbeya kuelekea Dar wavuka salama Hifadhi ya Taifa ya Mikumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s640/a.jpg)
Hii ilikuwa tarehe 15.06.2015 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro aliwaaga rasmi vijana hao ili kuanza safari yao kutoka Mbeya kwenda Dar.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dMcrlJZhaOA/VYUD5cAShvI/AAAAAAAAbeg/D44YzfWDEbs/s640/b.jpg)
Safari yao ikiwa imeanza na hapa mmoja wa vijana hao wakiwa safarini na hapa akonesha umahili wa utaalam wa kuchezea Baiskeli maeneo ya Chimala.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNfkZRLO4ic/VYLER50rGGI/AAAAAAAAbZ0/iUoAfR8KAAE/s640/IMG-20150616-WA0098.jpg)
Tarehe 17.06.2015 waliwasili Iringa na kulala hapo kisha asubuhi kuonana na uongozi wa Polisi Mkoani Iringa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mv-OEjpy2Bk/VYLEN130xbI/AAAAAAAAbZA/VOsJVQx3UrI/s640/IMG-20150616-WA0089.jpg)
Vijana hawa watatu wakiwa Iringa sasa wanahimiza watu kujiandikisha katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s72-c/a.jpg)
HATIMAYE VIJANA WANAOSAFIRI KWA BAISKERI KUTOKA MBEYA KUELEKEA DAR ES SALAAM WAVUKA SALAMA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s640/a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dMcrlJZhaOA/VYUD5cAShvI/AAAAAAAAbeg/D44YzfWDEbs/s640/b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNfkZRLO4ic/VYLER50rGGI/AAAAAAAAbZ0/iUoAfR8KAAE/s640/IMG-20150616-WA0098.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mv-OEjpy2Bk/VYLEN130xbI/AAAAAAAAbZA/VOsJVQx3UrI/s640/IMG-20150616-WA0089.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uC4z4pZTWwI/VMbFo02gjZI/AAAAAAADWd0/vBf08z2KUrs/s72-c/2518910C00000578-2926322-image-a-143_1422306856341.png)
HAKUNA SHULE, KAZI WALA NDEGE KURUKA NEW YORK ZAIDI YA NDEGE 6,000 CANCELS HADI JUMATANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-uC4z4pZTWwI/VMbFo02gjZI/AAAAAAADWd0/vBf08z2KUrs/s1600/2518910C00000578-2926322-image-a-143_1422306856341.png)
inayoendelea kushuka kama imeagizwa vile yasababisha shule kufungwa hadi jumatano kazi na usafiri wa chini na anga stop kwa siku mbili.
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNc69jlM8wk/VMbF8ziOywI/AAAAAAADWd8/kvLyN-IXUjY/s1600/2518459500000578-2926322-image-a-104_1422302014268.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDJH5i5rf3M/VMbGGPOVszI/AAAAAAADWeE/BwYpmR8MN00/s1600/251843A300000578-2926322-image-a-98_1422301949369.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VFf0rQEGZeM/VMbGTLudDiI/AAAAAAADWeM/KiLoC6p-yaQ/s1600/25188AEA00000578-2926322-image-a-136_1422305873624.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s72-c/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)
Dkt Mwele: Kutoka binti mwenye ndoto kuwa mtafiti hadi mwanasayansi wa kimataifa hadi mwania #Urais2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-FzSnDwlnNpU/VXce905JnKI/AAAAAAAAfs8/NMafMEUqZ7g/s640/dr%2Bmalecela%2B3.jpg)