Hifadhi ya Kitulo kuongezwa vivutio vya farasi na baiskeli
HIVI sasa ni Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, lakini awali eneo hilo lilijulikana kwa jina la Elton Plateau, lililovumbuliwa na Fredrick Elton mwaka 1870. Kutokana na umuhimu wa eneo hilo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Hifadhi ya Kitulo na vivutio vya maua
SEPTEMBA 16, 2005 serikali ililitangaza rasmi eneo la Kitulo kuwa Hifadhi ya Taifa. Hifadhi hii ni muhimu katika kuchangia ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi kwa taifa letu. Kitulo ambayo awali...
10 years ago
Michuzi03 Sep
HIFADHI YA TAIFA YA KITULO MAKETE YAZIDI KUJIIMARISHA ZAIDI
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GijynlmN97EoO5nHMhgJW3UfBZYw3Ryryk2RkxbgKpqWzQ6UN4EvmOGI9o6Kgm5wF504XgKKfWOkhAQZM7RurCOqMg9Sqlecz9ZSp3OQDaujuy3eYxkMSlsqmGxty-VchPAghNOgV7gI4FqKPx4HnB92q8EatuwobP5_G8HE8GL1Xj23X8w1FGGP_I2AjX5pGGK00Wlfvom1R1ZteCdW4NyHUjNeXgX5kVgLoMCpWUuB9WLbD19Ss-DeZl1FLgmrJQ5Z36hdBDiGiqQFIFyvGPHX-bQRJnG6s4gDqUI6MKN77CQfqpNn4IxxtwidDPaZ-AZbLPGiYo0qFkXuZMrof4I=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-1rkneq_rwbk%2FVAYrkZRboKI%2FAAAAAAAAPu8%2FdU-vetqS6vE%2Fs1600%2FIMG_0903-.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Ndege warukao kutoka Hifadhi ya Taifa ya Kitulo hadi Ulaya
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Hatimaye vijana wanaosafiri kwa Baiskeli Kutoka Mbeya kuelekea Dar wavuka salama Hifadhi ya Taifa ya Mikumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s640/a.jpg)
Hii ilikuwa tarehe 15.06.2015 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro aliwaaga rasmi vijana hao ili kuanza safari yao kutoka Mbeya kwenda Dar.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dMcrlJZhaOA/VYUD5cAShvI/AAAAAAAAbeg/D44YzfWDEbs/s640/b.jpg)
Safari yao ikiwa imeanza na hapa mmoja wa vijana hao wakiwa safarini na hapa akonesha umahili wa utaalam wa kuchezea Baiskeli maeneo ya Chimala.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNfkZRLO4ic/VYLER50rGGI/AAAAAAAAbZ0/iUoAfR8KAAE/s640/IMG-20150616-WA0098.jpg)
Tarehe 17.06.2015 waliwasili Iringa na kulala hapo kisha asubuhi kuonana na uongozi wa Polisi Mkoani Iringa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mv-OEjpy2Bk/VYLEN130xbI/AAAAAAAAbZA/VOsJVQx3UrI/s640/IMG-20150616-WA0089.jpg)
Vijana hawa watatu wakiwa Iringa sasa wanahimiza watu kujiandikisha katika...
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Vivutio vya utalii Rungwe havitangazwi
WILAYA ya Rungwe mkoani Mbeya imeshindwa kupaa kiuchumi kwa kutovitangaza vivutio vya utalii vilivyopo. Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa Christian and Gospel Ministry (CGM) wilayani humo, Watson...
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Tangazeni vivutio vya utalii- Nyalandu
NA MWANDISHI WETU
KAMPUNI za utalii nchini, zimetakiwa kutangaza vivutio vya utalii, ndani na nje ya nchi.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, alisema hayo jijini Arusha, wakati akifungua mkutano mkuu wa Wamiliki wa Kampuni ya Kusafirisha Watalii (TATO).
Alisema kazi ya kutangaza utalii inapaswa kupewa kipaumbele katika kampuni hizo.
Alizitaka kampuni hizo kuhakikisa zinaongeza kiasi kikubwa cha watalii wanaoingia nchini, ili kuiingizia serikali fedha nyingi za kigeni na kuachana...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
‘Watanzania tembeleeni vivutio vya utalii’
WATANZANIA wamehimizwa kutembelea vivutio vya utalii nchini kwa ajili ya kujifunza, kutangaza utalii wa ndani na kuongeza pato la taifa. Ushauri huo ulitolewa juzi na Ofisa Utalii wa Hifadhi ya...
11 years ago
Habarileo28 Apr
Mradi wa kutangaza vivutio vya utalii
KLABU ya waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro (MECKI) imeiomba serikali mkoani humo, kusaidia kufanikisha mradi wa utangazaji wa vivutio vya utalii mkoani humo, ambao utagharimu zaidi ya Sh milioni 145.
10 years ago
Habarileo19 Dec
Watanzania waaswa kutembelea vivutio vya utalii
WATANZANIA wameaswa kutembelea vivutio vya utalii ili kuona mambo mbalimbali hususani wanyama waliopo kwenye hifadhi zote nchini na hasa nyakati za Sikukuu za mwishoni mwa mwaka yaani Krismasi na Mwaka Mpya.