Ndege ya Urusi yenye abiria 200 yaanguka Sinai
Ndege ya shirika moja la ndege la Urusi, iliyowabeba abiria zaidi ya 200, imeanguka katika eneo la Sinai nchini Misri, waziri mkuu wa Misri amethibitisha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
NDEGE YA URUSI YENYE ABIRIA 200 YAANGUKA SINAI, MISRI
Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri. Waziri Mkuu wa Misri, Sharif Ismail akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). Ramani ikionyesha eneo la Sinai nchini Misri ilipotokea ajali hiyo.…
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria yapotea katika rada, yaanguka na abiria 116
Ndege ya Shirika la Ndege la Algeria (Air Algerie) iliyopoteza mawasiliano ya Rada katika anga la Mali mapema leo ikiwa na abiria 116 na watumishi sita imeanguka, Shirika la Habari la Reuters linaripoti.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TMbWixAAR2Spu72aQMrl*gjKa*5-tAx4TVcilXE4TxTqU32CD7yLCEa6RYKqTpA-r5cAhOFch7SGW5IpDKYyMOZ/2DFC0BC0000005783297871imagea61_1446317205024.jpg?width=650)
MABAKI YA NDEGE YA URUSI BAADA YA KUANGUKA SINAI, MISRI
Wachunguzi wakiwa eneo la tukio wakiangalia mabaki ya Ndege ya Shirika la Kogalymavia la Urusi, Airbus A-321 iliyoanguka eneo la Sinai nchini Misri ilikuwa na abiria 200, watoto 17 na wafanyakazi wa ndege hiyo 7.…
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Ndege yaanguka na kuwaua abiria 40 Iran
Ndege moja iliokuwa na abiria 40 imeanguka mjini Tehran nchini Iran.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R-ETGMHfbK0/Xu8kWBQxEHI/AAAAAAALuzQ/SLNj2pd5sZIG5ZiZVKMe5JI83Gg_SRy0ACLcBGAsYHQ/s72-c/3-26.jpg)
NDEGE ZA ABIRIA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-R-ETGMHfbK0/Xu8kWBQxEHI/AAAAAAALuzQ/SLNj2pd5sZIG5ZiZVKMe5JI83Gg_SRy0ACLcBGAsYHQ/s640/3-26.jpg)
Kazi ya upanuzi wa kiwanja cha ndege cha Dodoma ikiendelea. Mradi huo umefikia asilimia 30 na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi Agosti mwaka huu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/4-21.jpg)
Mafundi wa Kampuni ya CHICO wakiendelea na kazi ya upimaji katika Kiwanja cha Ndege cha Dodoma. Mradi huo utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 3.5.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/1-34.jpg)
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akitoa maelekezo kwa Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, Meneja wa...
5 years ago
CCM BlogNDEGE ZA ABIRIA ZAIDI YA 200 KUTUA KIWANJA CHA DODOMA
Dodoma, Tanzania
Kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZCuoM7SJtaY/Uz5Jt19m2MI/AAAAAAACeIs/3DHA6YlSAmk/s72-c/Ndege+ya+CRJ-200.jpg)
Ndege ya CRJ-200 yaboresha utendaji wa ATCL, yarejesha imani kwa abiria
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZCuoM7SJtaY/Uz5Jt19m2MI/AAAAAAACeIs/3DHA6YlSAmk/s1600/Ndege+ya+CRJ-200.jpg)
Aidha, shirika hilo limeweza kutoa nauli maalum kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*X48WsmNc23pmAB6oPcDv5ITM4Ut6B81jkUWsZQnbW89vUcnUyeltPn5O34Ge4z1GYQDZKo3PdFtKSkDX--vxEg/article25841331C69423300000578784_634x422.jpg?width=650)
SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI
Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur. Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...
10 years ago
Habarileo02 Sep
Ndege yaanguka Serengeti
UCHUNGUZI wa awali kuhusu kupotea kwa ndege ya mizigo ya Shirika la Safari Express ya nchini Kenya, umeonesha kuwa ndege hiyo yenye usajili namba 5Y SXP, aina ya Fokker 27, imepata ajali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania