Ndesamburo amshtaki RC kwa Rais Kikwete
Na Mwandishi wetu, Kilimanjaro
MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo amemshtaki Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na kile alichosema ni harufu ya rushwa katika kugawa kiwanja cha umma kinyume cha sheria.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na mbunge huyo ilisema, kiwanja hicho chenye hati namba 10660 ambacho ndipo zilipo ofisi za Kata ya Mawenzi ambacho zamani kilikuwa kikimilikiwa na The Registered Trustees of Mawenzi Sports Club...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 May
Mume amshtaki mkewe kwa kumyima ngono
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NDILiAzzLEUgO8AZIwscjIFl*xD8GA0Wq5KtqpS7j4SEDZArZuAOYG2WstcDgGIU-3Y4HH3LjQ4n0ACjHCre5fIujq03fdbf/haa.jpg)
HEEE! MUME AMSHTAKI MKEWE KWA WIZI WA MTOTO WAO
9 years ago
Bongo524 Dec
50 Cent amshtaki Rick Ross kwa kutumia beat ya ‘In Da Club’ kwenye mixtape yake
![rick-ross-and-50-cent](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/rick-ross-and-50-cent-300x194.jpg)
50 Cent anamshtaki Rick Ross akitaka alipwe dola milioni 2 kwa kuitumia beat ya wimbo wake wa kitambo, ‘In Da Club.’
50 Cent anadai kuwa Rick Ross ametumia wimbo huo bila ruhusa yake ili kuipa kiki albamu yake Black Market.
Mashtaka hayo yamekuja miezi kadhaa baada ya 50 naye kutakiwa kulipa dola milioni 5 kwa Lastonia Leviston baada ya kupost sex tape yake. Leviston ana mtoto na Rick Ross.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Rais Kikwete apokea salamu za kheri kutoka kwa Rais Obama
Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisoma salamu maalumu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais Barack Obama wa Marekani leo jijini Baltimore, Maryland, Marekani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi Liberata Mulamula na ujumbe wake wa...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi kwa Rais Kikwete
![](http://2.bp.blogspot.com/-H6t8dYNzzeg/VnUtYzlpWLI/AAAAAAAAr-o/t2bVljV5Brw/s1600/tmp_3597-Jakaya_Kikwete_2011_%2528cropped%252996447027.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India. Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya...
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE KUTOKA KWA RAIS WA BURUNDI PIERRE NKURUNZINZA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oxlHYVna4aY/VeoD5iOJx9I/AAAAAAAH2a0/QfCUitAmg3o/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Rais Kikwete apokea Ujumbe kutoka kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
![](http://4.bp.blogspot.com/-oxlHYVna4aY/VeoD5iOJx9I/AAAAAAAH2a0/QfCUitAmg3o/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yk3Ma9T_hQY/VeoD5m9XFsI/AAAAAAAH2a4/Fr4HZROwjQU/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboRais Edgar Lungu wa Zambia Aandaa Dhifa Kwa Heshima ya Rais Jakaya Kikwete
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...