Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndesamburo: Naona fahari kuwaangusha mawaziri wa JK

Mwenyekiti wa Chadema wa Kilimanjaro, Philemon Ndesamburo anaona fahari kuwaangusha mawaziri wawili  wa Serikali ya Rais Jakaya Kikwete katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mourinho: Naona aibu

Siku moja baada ya kuambulia kichapo cha 2-1 dhidi ya Leicester, mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho sasa anadai wachezaji wanamsaliti

 

11 years ago

Mwananchi

Nililala nikiwa naona, nikaamka na upofu

>“Wengi wetu tunaishi bila kujiuliza maswali kama; “Itakuwaje iwapo siku nitaamka nikiwa sina uwezo wa kuona tena? Hatujiulizi maswali kama haya kwa sababu tunavichukulia vitu muhimu kuwa vya kawaida tu.”

 

10 years ago

Bongo5

Music: Smile Ft. Bob Junior — Naona Raha

Msanii Smile ameachia wimbo mpya unaitwa “Naona Raha” amemshirikisha Bob Junior wimbo umeataarishwa katika studio za Sharobaro Record. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli: Naona dalili njema kushinda urais

MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema ameona dalili njema ya ushindi kwani kabla ya kupiga kura yake jana mjini Chato, mvua ilianza kunyesha. Dk Magufuli alisema hayo jana muda mfupi baada ya kumaliza kupiga kura yake katika Shule ya Msingi ya Magufuli wilaya ya Chato Mkoa wa Geita.

 

10 years ago

Bongo Movies

Faiza:Hata Baada ya Kuzaa Naona Bado Nina Mvuto!!!

Mwigizaji wa filamu alietoa kali ya  mwaka jana kwa kuvaa  Diaper  wavaayo watoto kuhifadhi haja zao maarufu kama ‘pempasi’ kwenye kusherekea siku yake ya kuzaliwa, Faiza Ally leo ameibuka  na picha akiwa ufukweni amevalia vinguo vya kuogelea huku pembeni akiwa na mtoto wake nakudai kuwa bado ana mvuto hata baada ya kuzaa mtoto.

“Hata baada ya kuzaa naona niko sexy ile mbaya kudadadeki!!!!” Faiza aliandika

Haya hebu jionee na umwambie kitu mama huyu mwenye...

 

10 years ago

Raia Mwema

Naona kwamba sasa inabidi kutunga sheria nyingine ya Makosa ya Jukwaa

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

11 years ago

Mtanzania

Taifa letu, fahari yetu

Kikwete na SheinNa Waandishi wetu

RAIS Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein jana wamepokea Katiba inayopendekezwa mjini Dodoma.

Akizungumza katika sherehe  zilizofanyika Uwanja wa Jamhuri,Rais Kikwete aliwataka watu ambao hawakuridhika na mchakato wavute subira.

Sherehe hizo zimefanyika huku wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wakiwa wamesusia vikao vya Bunge hilo tangu Aprili 16, mwaka huu.

Rais Kikwete aliyeanza kuhutubia saa moja jioni, alisema licha ya uzuri wa...

 

5 years ago

Michuzi

MUUNGANO WETU NI FAHARI YETU


Na Emmanuel J. Shilatu
Ni miaka 56 imetimia tangu jahazi lililowabeba Watanganyika na Wazanzibar liweke historia ya kung’oa nanga mara baada ya Jamhuri Muungano wa Tanzania kuzaliwa rasmi mnamo April 26,1964. Hii ilitokana na ujasiri, ushupavu na nia ya dhati waliyokuwa nayo waasisi wa Muungano huu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Tanganyika) na Abeid Aman Karume (Zanzibar).
Hatua hiyo ilifikiwa kutokana na mtiririko wa kimazingira na mahusiano ambayo yalishabihiana kama sio kufanana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nini hasa fahari ya waimbaji wa Injili?

”KILA mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe, kila mtu atatoa hesabu yake mwenyewe siku hiyo ikifika…” Hiki ni kipande cha wimbo ambao ulivuma na kupendwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani