Ndoa ya Dokta Cheni yatikisika!
Gwiji katika tasnia ya uigizaji Bongo, Mahsein Awadhi Said ‘Dokta Cheni’.
MADAI! Ndoa ya gwiji katika tasnia ya uigizaji na ushereheshaji (MC)Bongo, Mahsein Awadhi Said ‘Dokta Cheni’ inadaiwa kushikiliwa na ‘uzi wa buibui’ kufuatia mwigizaji huyo kukolea kwa mchepuko anayedaiwa kumpangishia chumba katika hoteli moja maarufu jijini Dar, Amani linaripoti.
Kama ilivyo kwa Rais, Dk. John Magufuli na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Jumatatu iliyopita, paparazi wetu alifanya ‘ziara’ ya kushtukiza...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oCcq6Ci9RxY/default.jpg)
10 years ago
GPL25 May
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Bei kushuka:Nigeria yatikisika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZlBJL*XyKT0HJ017G58s7A8gviKeFO13c2z1ebknymbUzBX6AVyiVOHI22VNXhj7x5mYPIFH5vv8K8DweradwO3YHFIynFiS/miss.jpg)
USHINDI MTOTO WA MBUNGE, MISS TANZANIA YATIKISIKA
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2682094/highRes/989515/-/maxw/600/-/qrdi8v/-/mgomo_abiria.jpg)
Baadhi ya madereva na wapigadebe wakiwashusha abiria kwenye gari aina ya Town Hiace iliyokuwa imebeba abiri eneo la Ubungo, wakati madereva wa daladala walipokuwa kwenye mgomo, Dar es Salaam. Picha na Said Khamis
Dar es Salaam. Hali ya taharuki, hekaheka na tafrani ilitanda kwenye Kituo cha Mabasi cha Ubungo (UBT) na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam na mikoani wakati madereva wa mabasi walipofanya mgomo wa takriban saa tisa kuishinikiza Serikali kufuta matumizi ya kanuni mpya za udhibiti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XPD2mfj8OjE/XkahzcpGoTI/AAAAAAALdXk/3Fuz-BdFl0gUzcEP_BZ5CjsTo-bqtGfXQCLcBGAsYHQ/s72-c/5b8f0741-9dcd-405e-aecd-b49c2d7f35ae.jpg)
CHADEMA YATIKISIKA KILOMBERO,VIONGOZI WAKE WAJIVUA UANACHAMA NA KUHAMIA CCM
Waliojivua uanachama wa Chadema ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara CHADEMA, Mashaka Mbilinyi, Diwani kata ya Mbasa ,Chiza Shungu, Mwenyekiti wa kamati huduma za Jamii Ifakara, Digna Nyangile, Diwani Viti Maaalum Ifakara, Antony Mwampunga Kamanda wa Red Briged wilaya Kilombero, Clarens Manyota na Baraka Masala.
Wanachama hao wapya...
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Hekaheka: Madereva wa mabasi wagoma kwa saa tisa, nchi yatikisika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX7GjF55epLmUMge1LbNM9bS6LadzOKKF7sdnwubR-w33O0zHSMOwoRoDr1tVSJg6ig9faP2F0nS5qTWzdO-ljIK/BACKAMANI.jpg)
DOKTA: JK MUOKOE RAY C
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD-9uRz9fqeCKARsxAwQeA5yYcSPJpTQA5Ngz1Z84g**TynHbzfzBWkl7Qtj7FMJrIeuI9tHvWE9pLFGG3JOMkq6O/ofm.jpg?width=650)
DOKTA MAMBO ANASWA...