Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOKTA: JK MUOKOE RAY C

STORI: MAYASA MARIWATA NA SHANI RAMADHANI
DOKTA mmoja wa Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar (jina lipo) ameibuka na kumtaka  Rais Jakaya Kikwete ‘JK’ aliyewahi kubeba jukumu la kuitengeneza afya ya Mbongo Fleva, Rehema Chalamila ‘Ray C’ asimamie tena jukumu hilo ili kuokoa maisha ya msanii huyo. Dokta huyo aliyasema hayo juzi katika mahojiano na Amani kufuatia madai kwamba, Ray C hana mahudhurio...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.

Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.

Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood...

 

11 years ago

GPL

CHUCHU AJICHORA TATUU YA RAY, RAY AJIBU

Stori: Imelda Mtema
KATIKA hali inayoonesha kuna kitu kikubwa kinakuja mbeleni, msanii wa filamu, Chuchu Hans amejichora ‘tatuu’ inayosomeka kwa jina la Ray huku anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ naye akiwa amejichora tatuu inayosomeka kwa jina la Chuchu. Ray na Chuchu. Picha ambazo gazeti hili limezinasa zinawaonesha wawili hao wakipigia ‘promo’ uhusiano wao huku wadau...

 

10 years ago

GPL

DOKTA: SHILOLE MGONJWA!

Shani Ramadhani  na Chande Abdallah
DAKTARI mmoja bingwa wa saikolojia, Erick Mutchumbh, amesema tabia zinazofanywa na nyota wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ zinaashiria kuwa ni mgonjwa aliyeathirika kisaikolojia na matatizo ya unyanyaswaji wakati wa utoto wake. Nyota wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Mutchumbh alitoa maelezo hayo baada ya kuombwa kuzungumzia tabia za Shilole za kugombana...

 

11 years ago

GPL

DOKTA MAMBO ANASWA...

Stori: Waandishi Wetu
MWAKA umeanza, mambo mapya pia yapo! Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers imeingia kazini kwa kasi zaidi. Safari hii imemnasa daktari anayejulikana kwa jina moja la Mambo maarufu sana kwa jina la Dokta Mambo katika jaribio linalodaiwa kuwa ni la utoaji mimba. Tukio hilo lilitokea katika zahanati yake (jina lipo) iliyopo Kawe jijini Dar es Salaam ambapo daktari huyo anayejulikana...

 

10 years ago

GPL

DOKTA FADHILI KUTUA BONGO

Mwandishi Wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dokta Fadhili Emily ambaye pia ni mfadhili mkuu wa zawadi mbalimbali zinazotoka kwenye Magazeti Pendwa ya Global Publishers, amefunguka kuwa anatarajia kutua nchini akiwa na utaalamu mpya ambao utawasaidia watu kuweza kupata watoto mapacha wa jinsia wanayotaka na wanataka wafanane na baba au mama.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1JuCh2s ...

 

10 years ago

Michuzi

MAPOKEZI YA DOKTA SLAA KATAVI

Msafara wa pikipiki na magari mjini Katavi jana wakati wanachama, mashabiki, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walipojitokeza kwa wingi kumpokea Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Willibroad Slaa ambaye yuko kwenye ziara ya mikoa ya Mbeya, Rukwa na Katavi akikagua zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa mfumo wa BVR, kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura huku pia akikagua maandalizi ya chama kwenda kushinda uchaguzi...

 

11 years ago

GPL

SIMU DOKTA YAGOMBEWA ARUSHA

Mratibu wa simu Dokta jijini Arusha, Patrick Chokala. Patrick Chokala (kulia) akiendelea kuelimisha wananchi jinsi ya kujiunga na simu Dokta.…

 

10 years ago

GPL

GWAJIMA AMJIBU DOKTA SLAA

Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephath Gwajima (katikati) akizungumza kwenye mkutano huo leo katika Hoteli ya Land Mark. ....Gwajima akionesha hisia zake.…

 

9 years ago

Global Publishers

Ndoa ya Dokta Cheni yatikisika!

CHENIGwiji katika tasnia ya uigizaji Bongo, Mahsein Awadhi Said ‘Dokta Cheni’.

MADAI! Ndoa ya gwiji katika tasnia ya uigizaji na ushereheshaji (MC)Bongo, Mahsein Awadhi Said ‘Dokta Cheni’ inadaiwa kushikiliwa na ‘uzi wa buibui’ kufuatia mwigizaji huyo kukolea kwa mchepuko anayedaiwa kumpangishia chumba katika hoteli moja maarufu jijini Dar, Amani linaripoti.

Kama ilivyo kwa Rais, Dk. John Magufuli na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Jumatatu iliyopita, paparazi wetu alifanya ‘ziara’ ya kushtukiza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani