Ndugai asema Kiteto inanuka mauaji
NAIBU Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kuwa mauaji yanayotokea wilayani Kiteto yanatisha na kwamba huwezi kuamini kama ni sehemu ya Tanzania. Ndugai ambaye pia ni mbunge wa Kongwa, wilayani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Ndugai alalamikia mauaji ya wakulima Kiteto
THEODOS MGOMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0mjNH0t3Cd8/VGS9hxaiQPI/AAAAAAAABu0/oZY17IvlDXw/s1600/ndugai.jpg)
Akitumia kanuni ya 68(7), Moza alisema kumekuwa kukitokea mauaji ya kutisha ya wakulima katika wilaya ya Kiteto.
Moza alisema katika kipindi cha...
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Ndugai: Kiteto kama Somalia
10 years ago
Daily News12 Nov
Ongoing killings in Kiteto district anger Ndugai
Daily News
Daily News
NATIONAL Assembly Deputy Speaker, Mr Job Ndugai, has expressed lament over the killings in Kiteto district, Manyara region, saying the situation there is serious. Mr Ndugai was commenting after a response from Minister of State in the President's Office ...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mauaji ya Kiteto, Siha yakome
KWA muda mrefu kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu ugomvi kati ya wakulima na wafugaji wanaogombania maeneo hapa nchini Ugomvi wa pande hizo mbili zimekuwa zikisababisha vifo, majeraha,...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Mauaji ya wakulima tena Kiteto
MAPAMBANO kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, yanaendelea kushika kasi na kusababisha watu wanne kupoteza maisha. Hali hiyo ilibainishwa na Katibu wa wakulima wilayani hapa,...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
DC adaiwa kuchochea mauaji Kiteto
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto mkoani Manyara, Martha Umbulla, amedaiwa kuwa chanzo cha kuchochea mauaji ya wakulima na wafugaji. Madai hayo yalitolewa na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Mauaji yazidi kutikisa Kiteto
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Mauaji ya Kiteto yalitikisa Bunge
JESHI Polisi linawashikilia watu watano kuhusiana na mauaji katika mapigano kati ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Matui wilayani Kiteto.
Katika mapigano hayo, watu wanne waliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Akitoa kauli ya serikali bungeni jana, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mathias Chikawe, alisema mapigano hayo yalitokea juzi katika wilaya hiyo.
Chikawe alisema Jumanne iliyopita katika kijiji hicho, mkulima Hassan Kondeja, mkazi wa Kijiji cha Bwawani, alikwenda katika Kituo cha...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mauaji kiteto kujadiliwa Bungeni
BUNGE limepeleka kamati ndogo, chini ya uongozi wa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, kwenda kuchunguza mauaji ya kutisha yanayoendelea kutokea wilayani Kiteto mkoani Manyara. Hatua hiyo ilitangazwa jana Bungeni...