Ndugai,DC kikaangoni, Cuf wapigilia msumari
Taasisi ya Utafiti wa Masuala ya Ardhi (HakiArdhi), imekosoa hatua ya Naibu Spika, Job Ndugai kuingilia mgogoro wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto na kusema kuwa ni mwendelezo wa uchochezi wa wanasiasa katika migogoro hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Wabunge CUF wamshukia Ndugai
*Wadai amevunja kanuni Dk. Shein, polisi kuingia ukumbini
*Kubenea naye atangaza kumburuza mahakamani
Fredy Azzah, Dar na Ramadhan Hassan, Dodoma
WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) wamemtuhumu Spika wa Bunge, Job Ndugai kumruhusu Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuingia bungeni.
Kwa mujibu wa wabunge hao, Spika alifanya bhivyo licha ya wao kupinga hatua hiyo.
Vilevile, Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), ametangaza kumfikisha mahakamani Spika Ndugai akidai kwamba alikiuka...
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Warioba apigilia msumari escrow
10 years ago
Vijimambo02 Apr
Jaji Bomani apigilia msumari katiba mpya.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mark-2April2015.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) mstaafu, Jaji Mark Bomani, ambaye pia ni mtaalam nguli wa Katiba, ameonya kuwa iwapo upigaji wa kura ya maoni ya Katiba inayopendekezwa utalazimishwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu, wakati dalili zote zinaonyesha kuwa haiwezekani, unaweza kuzua mtafaruku mkubwa nchini.
Ili kuepusha hali hiyo, ameshauri kura ya maoni iahirishwe hadi baadaye, badala yake Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) iendelee na...
10 years ago
Mwananchi21 Aug
CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
Polisi kikaangoni
IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa imani, mfumo wa sheria pamoja na utumiaji wa njia zisizo rasmi ili kupata haki, kunadhoofisha usalama wa nchi. Kauli hii ilitolewa jana jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Vigogo kikaangoni
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Yanga, Azam kikaangoni
9 years ago
Habarileo29 Aug
Msenegali kikaangoni Simba
MSHAMBULIAJI anayewania kusajiliwa na Simba, Pape N’daw leo na kesho atakuwa na mtihani mkubwa wakati timu hiyo ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo Dar es Salaam itakapocheza mechi mbili za kirafiki mjini hapa.