Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC: Wanaharakati mpeni utulivu Rais

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewataka wanaharakati wampe utulivu Rais John Magufuli kuhusu uteuzi wa baraza la mawaziri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanaharakati wakosoa masharti ya NEC, ZEC

Makundi ya wanaharakati wa masuala ya Sheria na Katiba wamekosoa masharti yaliyoainishwa kwenye tangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na ile ya Zanzibar (Zec), wakidai kuwa yanalenga kudhoofisha nguvu ya makundi yanayopinga Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Nkurunziza aomba utulivu Burundi

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameomba utulivu baada ya wapiganaji waliovalia magwanda ya kijeshi kumuua mmoja ya majenerali walio na ushawishi mkubwa serikalini.

 

9 years ago

Mwananchi

Mpeni muda kocha Simba itatisha-Kazimoto

Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto amewataka mashabiki na wapenzi wa timu hiyo kumpa muda kocha Dylan Kerr atengeneze timu badala ya kuwatia katika shinikizo na kuathiri kikosi chao.

 

9 years ago

Mwananchi

Kinana: Bakini Ukawa, kura mpeni Magufuli

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amewataka wafuasi wa Ukawa wamchague kwa kura nyingi mgombea urais kupitia chama hicho, Dk John Magufuli ili waweze kufaidi mabadiliko ya kweli.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAENDELEA KUHAKIKISHA HALI YA AMANI NA UTULIVU-RAIS DKT.ALI SHEIN



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar kabla yac kulivunja rasmin leo katika ukumbi wa mkutano Chukwani Jijinin Zanzibar.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa zawadi ya Kitabu...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) katika jengo la White House mjini Dodoma jana, akiwa meza kuu na Makamu Mwenyekiti wa CCM  Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein na Katibu Mkuu wa CCM NduguAbdulrahman Kinana. (PICHA NA…

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete aongoza kikao cha NEC Dodoma leo

 Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,Phillip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana wakiwa kwenye kikao cha Halmashauri kuu ya CCM (NEC)  kilichofanyika katika Ukumbi wa White House mjini Dodoma leo.Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri kuu ya CCM(NEC)  kilichofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo.Sehemu ya Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM (NEC) wakiwa kwenye kikao hicho...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI ITAWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WATAKAOKAIDI AGIZO LA NEC - RAIS KIKWETE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) amewataka wananchi wote wenye haki ya kupiga kura kuhakikisha wanaheshimu maagizo ya Tume ya Uchaguzi ya kuwataka waondoke katika vituo vya kupigia kura mara baada ya kumaliza zoezi la upigaji kura.
Rais Kikwete Amesema kuwa wenye jukumu la kukaa kituoni ni Mawakala wa wagombea na sio wapiga kura wote kama inavyodaiwa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa.Rais Kikwete ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati wa...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC-CCM MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiingia ukumbini kuendesha Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, mjini Dodoma jana. kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwa na viongozi wa ngazi ya juu wa Chama baada ya kuwasili ukumbini. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani