Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana: Bakini Ukawa, kura mpeni Magufuli

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amewataka wafuasi wa Ukawa wamchague kwa kura nyingi mgombea urais kupitia chama hicho, Dk John Magufuli ili waweze kufaidi mabadiliko ya kweli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo

HABARI NJEMA…. Tumepokea taarifa kutoka Mwanza, Geita, Shinyanga, Mara na Kagera muda huu saa 4.15 usiku.. Masanduku 3,470 yamekamatwa kwenye magari ya serikali (TANROADS) Yakiwa na jumla ya kura 1,600,00 za Magufuli. Vijana wamekubaliana walale vituoni […]

The post Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC: Wanaharakati mpeni utulivu Rais

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewataka wanaharakati wampe utulivu Rais John Magufuli kuhusu uteuzi wa baraza la mawaziri.

 

9 years ago

Mwananchi

Mpeni muda kocha Simba itatisha-Kazimoto

Kiungo wa Simba, Mwinyi Kazimoto amewataka mashabiki na wapenzi wa timu hiyo kumpa muda kocha Dylan Kerr atengeneze timu badala ya kuwatia katika shinikizo na kuathiri kikosi chao.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana: Msiwajadili Warioba, Ukawa

Katika jitihada za kuliepusha Bunge la Katiba kupoteza mwelekeo, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wajumbe wake kuacha kumjadili mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliosusia vikao vya Bunge hilo.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kinana awalipua viongozi UKAWA



Awaonya uchu wa madaraka utawamalizaNgome ya CHADEMA Karatu yagaragazwa
Na Mwandishi Wetu, Karatu
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema mwisho wa ndoa ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umekaribia.
Amesema muungano huo utabadilika jina na kuwa Ukiwa, ifikapo Oktoba, mwaka huu, wakati mgombea urais wa CCM pamoja na idadi kubwa ya wabunge wake watakapotangazwa washindi.
Alisema kelele nyingi zinazopigwa na viongozi wa UKAWA na mikakati lukuki wanayoizungumza katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana: Siyo lazima Ukawa warejee bungeni

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana amesema mazungumzo ya kusaka mwafaka kuhusu mchakato wa Katiba Mpya baina ya chama chake na vyama ambavyo wajumbe wake wamesusia Bunge Maalumu, hakulengi kuwalazimisha kurejea katika Bunge hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Ukawa utabadilika kuwa Ukiwa Oktoba -Kinana

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameubeza muungano wa vyama vya upinzani, maarufu kama Ukawa na kusema muungano huo utabadilika jina ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu na kuitwa Ukiwa, baada ya Chama Cha Mapinduzi kutangazwa kuwa mshindi katika nafasi ya Urais.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ukawa waapa kulinda kura

katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika BEATRICE SHAYO 4th October 2015 Kaimu katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika akizungumza na waandishi wa bahari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu Tume ya Taifa ya […]

The post Ukawa waapa kulinda kura appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

UKAWA YAITAKA POLISI KUZUIA MIKUTANO YA KINANA NCHINI

Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu,  akizungumza jambo mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani). Baadhi ya viongozi wa Ukawa, kuanzia kushoto ni Tundu Lissu, Freeman Mbowe, Prof.  Ibrahim Lipumba  na John Mnyika.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani