Ukawa utabadilika kuwa Ukiwa Oktoba -Kinana
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana ameubeza muungano wa vyama vya upinzani, maarufu kama Ukawa na kusema muungano huo utabadilika jina ifikapo mwezi Oktoba mwaka huu na kuitwa Ukiwa, baada ya Chama Cha Mapinduzi kutangazwa kuwa mshindi katika nafasi ya Urais.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Sep
Sumaye: Uchaguzi ukiwa huru na haki Ukawa watashinda
10 years ago
MichuziTASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA MOSHI UKIWA KWENYE MAANDALIZI YA KUWA JIJI
9 years ago
Habarileo18 Sep
Mabasi ya haraka kuwa barabarani Oktoba 2
HATIMAYE mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika jiji la Dar es Salaam unatarajiwa kuanza Oktoba 2 mwaka huu kwa njia moja.
9 years ago
Dewji Blog19 Aug
Kinana kuongoza kikosi cha Kamati ya Kampeni Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo asubuhi,katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam kuhusiana na uteuzi wa kamati ya Kampeni kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015, ambayo itaongozwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Wajumbe.
Kamati Ya Kampeni Za Uchaguzi 2015 – 18.8.2015
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-13l4UU4L67c/VcCEfTYt8HI/AAAAAAAAInI/VCT85Jwx0do/s72-c/Edward%2BNyoyai%2BLowasa.jpg)
UNAAMBIWA HILI NDILO BARAZA LA MAWAZIRI LA UKAWA LITAKALOTANGAZWA OKTOBA 2015!
![](http://3.bp.blogspot.com/-13l4UU4L67c/VcCEfTYt8HI/AAAAAAAAInI/VCT85Jwx0do/s640/Edward%2BNyoyai%2BLowasa.jpg)
Edward Ngoyayi Lowassa (Chadema) - Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-njKeveZopFE/VcCGG8G2jjI/AAAAAAAAIpQ/geEnTKz4Zsw/s640/Profesa%2BIbrahim%2BLipumba.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57L3AHsrRy8/VcCFFp6x-kI/AAAAAAAAIng/mijmXMTIyzc/s640/Freeman%2BMbowe.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ct_9RScTK5E/VcCGEZI1AmI/AAAAAAAAIpI/UHSyIjs6j34/s640/Halima%2BMdee.jpg)
Halima James Mdee (Chadema) - Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-O5qAU8cvNP8/VcCFWSu0KtI/AAAAAAAAIoA/7u1CL1G870k/s640/John%2BMnyika.jpg)
John John Mnyika (Chadema) - Fedha na Uchumi
![](http://1.bp.blogspot.com/-bhCLyMNKg_Q/VcCExDKQCdI/AAAAAAAAInY/6uihGWNkid8/s640/David%2BKafulila.jpg)
David Kafulila (NCCR-Mageuzi) - Kazi na Ajira
![](http://1.bp.blogspot.com/-p5myY9HPtX0/VcCD9-5BMxI/AAAAAAAAIm4/qCjSgklde34/s640/David%2BSilinde.jpg)
David Ernest Silinde (Chadema) - Tamisemi
![](http://2.bp.blogspot.com/-mxnSoDAT2EY/VcCEFULg3DI/AAAAAAAAInA/_JC0TKW4DbU/s640/Dk.%2BEmmanuel%2BMakaidi.jpg)
Dk. Emmanuel John Makaidi (NLD) - Viwanda, Biashara na Masoko
![](http://3.bp.blogspot.com/-0jyXzX4mZvE/VcCFORrI1wI/AAAAAAAAIno/xlQX1kDJbKQ/s640/James%2BMbatia.jpg)
James Mbatia (NCCR-Mageuzi) - Elimu na Mafunzo ya Ufundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-hvF2NIKreJY/VcCFQ1f__EI/AAAAAAAAInw/qLhmlykOJ6I/s640/Joseph%2BRoman%2BSelesini.jpg)
Joseph Selasini (Chadema) - Ofisi ya Rais...
10 years ago
GPLUKAWA: UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015 LAZIMA, KIKWETE ASIONGEZEWE MUDA, KURA YA MAONI BAADAE
9 years ago
Bongo517 Dec
Filamu za Bongo hazitakufa, mfumo utabadilika – Ernest Napoleon (Video)
![11820519_180167015648391_1962079100_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11820519_180167015648391_1962079100_n-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema licha ya wasanii wa filamu Tanzania kuwa na wasiwasi kuwa kiwanda chao kinakufa, anaamini kitaendelea kuwepo na kitabadilika.
Amesema kile kinachoweza kufa ni mfumo wa filamu uliopo kwa sasa ambao anaamini unaenda kufikia kikomo.
“Bongo movie haitakufa sababu bado inatengeneza movie nyingi sana, bado ina mashabiki wengi sana, ina mastaa, ina watu wenye vipaji,” amesema.
“Kama biashara yoyote itafanya restructuring, watu wengine...
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Kinana awalipua viongozi UKAWA
Awaonya uchu wa madaraka utawamalizaNgome ya CHADEMA Karatu yagaragazwa
Na Mwandishi Wetu, Karatu
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema mwisho wa ndoa ya viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umekaribia.
Amesema muungano huo utabadilika jina na kuwa Ukiwa, ifikapo Oktoba, mwaka huu, wakati mgombea urais wa CCM pamoja na idadi kubwa ya wabunge wake watakapotangazwa washindi.
Alisema kelele nyingi zinazopigwa na viongozi wa UKAWA na mikakati lukuki wanayoizungumza katika...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Kinana: Msiwajadili Warioba, Ukawa