Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC yakwaza wapinzani

VYAMA vya upinzani vimepinga teknolojia mpya ya Biometric Voter Registration (BVR), itakayotumiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wapinzani waomba NEC iongezewe fedha

Katibu wa NCCR-Mageuzi, Mosena NyambabeVYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeitaka serikali kuelekeza nguvu na kuongeza fedha kwenye Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) iweze kukamilisha uandikishaji wapiga kura kwa ufanisi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa NEC hii wapinzani wategemee maumivu

NIANZE na kumshukuru Mungu kwa kunilinda katika kipindi chote ambacho nilikuwa mkoani Iringa nikiripoti kampeni na uchaguzi wa Jimbo la Kalenga, uliomalizika Machi 16, mwaka huu. Nimeanza kumshukuru Mungu kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Korti yakwaza Google, Yahoo na Microsoft

Mahakama kuu nchini India imeamrisha kampuni kubwa za intenet, Google, Yahoo na Microsoft kubana matangazo ya biashara ya kuwapima wanawake wajawazito ili kubaini jinsia ya mtoto kabla ya kuzaliwa kwake.

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu duni yakwaza kilimo cha ufuta Tandahimba

Baada ya kupata mafanikio ya wastani katika kilimo cha ufuta, wakulima wa zao hilo, ambao wengi ni wale wanaohama makazi yao kwa muda kutoka Wilaya ya Tandahimba, Mtwara kwenda Lindi kwa ajili ya zao hilo, sasa wanalilia elimu ili waweze kupata mafanikio makubwa zaid

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani