Wapinzani waomba NEC iongezewe fedha
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeitaka serikali kuelekeza nguvu na kuongeza fedha kwenye Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) iweze kukamilisha uandikishaji wapiga kura kwa ufanisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
NEC yakwaza wapinzani
VYAMA vya upinzani vimepinga teknolojia mpya ya Biometric Voter Registration (BVR), itakayotumiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura...
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Kwa NEC hii wapinzani wategemee maumivu
NIANZE na kumshukuru Mungu kwa kunilinda katika kipindi chote ambacho nilikuwa mkoani Iringa nikiripoti kampeni na uchaguzi wa Jimbo la Kalenga, uliomalizika Machi 16, mwaka huu. Nimeanza kumshukuru Mungu kwa...
10 years ago
Habarileo26 Jan
Waomba fedha ujenzi wa zahanati kukaguliwa
WANANCHI wa Kata na Kijiji cha Chanya katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera wameomba Serikali kuwapatia Mkaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali awasaidie kutambua matumizi mabaya ya fedha za ujenzi wa zahanati ambazo hazijulikani zilipo.
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA KUWAHOJI WAOMBA HIFADHI (NEC) YAANZA KAZI KAMBI YA WAKIMBIZI NYARUGUSU, KIGOMA
.jpg)
9 years ago
Mwananchi20 Dec
NYANZA: Mbunge aomba BMC iongezewe bajeti
10 years ago
Habarileo03 Mar
Aibana Hazina iipatie NEC fedha za BVR
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza Hazina kuhakikisha inaitengea fedha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kazi ya kuandikisha wapiga kura kwa Mfumo wa Teknolojia ya Utambuzi wa Alama za Vidole ‘Biometric Vote Registration’ (BVR) ikamilike kama ilivyopangwa.
10 years ago
Habarileo04 Mar
Kikwete aibana Hazina iipatie NEC fedha za BVR
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza Hazina kuhakikisha inaitengea fedha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kazi ya kuandikisha wapiga kura kwa Mfumo wa Teknolojia ya Utambuzi wa Alama za Vidole ‘Biometric Vote Registration’ (BVR) ikamilike kama ilivyopangwa.
5 years ago
MichuziKUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana.
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...
10 years ago
VijimamboMIKUTANO YA WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA NA KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA WASHINGTON, DC