Aibana Hazina iipatie NEC fedha za BVR
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza Hazina kuhakikisha inaitengea fedha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kazi ya kuandikisha wapiga kura kwa Mfumo wa Teknolojia ya Utambuzi wa Alama za Vidole ‘Biometric Vote Registration’ (BVR) ikamilike kama ilivyopangwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo04 Mar
Kikwete aibana Hazina iipatie NEC fedha za BVR
RAIS Jakaya Kikwete ameagiza Hazina kuhakikisha inaitengea fedha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kazi ya kuandikisha wapiga kura kwa Mfumo wa Teknolojia ya Utambuzi wa Alama za Vidole ‘Biometric Vote Registration’ (BVR) ikamilike kama ilivyopangwa.
9 years ago
Habarileo28 Nov
Hazina haijakauka - Kamishna wa Fedha
WIZARA ya Fedha imekanusha taarifa zilizotolewa katika vyombo vya habari kwamba Hazina imekauka, na kuhadharisha kuwa taarifa hizo ni za upotoshaji. Kamishna wa Bajeti Wizara ya Fedha, John Cheyo amesema hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utaratibu wa bajeti na vipaumbele vinavyopangwa katika kuhudumia wananchi.
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Fedha za miradi zarejeshwa Hazina
JUMLA ya sh 188,405,740,589 sawa na asilimia 55 ya fedha zilizotolewa na Serikali Kuu kwa shughuli za miradi mbalimbali ya maendeleo katika kipindi cha mwaka 2011 na 2012 zimerudishwa Hazina...
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Hazina: Fedha za MCC zitapatikana mwakani
ADAM MKWEPU NA JOHANES RESPICHIUS, DAR ES SALAAM
KAMISHNA wa Bajeti wa Wizara ya Fedha, John Cheyo, amesema fedha za msaada za Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) kutoka nchini Marekani zinatarajiwa kupatikana Juni, mwakani.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, alipozungumza na waandishi wa habari ikiwa ni siku moja baada ya baadhi ya magazeti, likiwemo gazeti hili, kuripoti kuhusu barua ya MCC ya Novemba 19, mwaka huu, iliyoandikwa kwenda kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Servacius...
10 years ago
TheCitizen23 Jun
Keep off BVR, NEC tells politicians
10 years ago
Mwananchi26 Jun
NEC itathmini uandikishaji wa BVR
10 years ago
Daily News25 Mar
NEC given funds for more BVR kits
Daily News
THE National Electoral Commission (NEC) has received 70 per cent of funds it needs for buying 8,000 Biometric Voter Registration (BVR) kits, Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, said on Tuesday. “The government had disbursed 70 per cent of the required ...
9 years ago
GPLNEC: VIFAA BVR FEKI
10 years ago
TheCitizen21 Jan
NEC yet to receive BVR kits