Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hazina haijakauka - Kamishna wa Fedha

WIZARA ya Fedha imekanusha taarifa zilizotolewa katika vyombo vya habari kwamba Hazina imekauka, na kuhadharisha kuwa taarifa hizo ni za upotoshaji. Kamishna wa Bajeti Wizara ya Fedha, John Cheyo amesema hayo jana jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utaratibu wa bajeti na vipaumbele vinavyopangwa katika kuhudumia wananchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Msajili Wa Hazina Akutana Na Kamishna wa Maadili Kujadili Namna ya Kuimarisha Ushirikiano Baina ya Ofisi Hizo



Msajili wa Hazina, Athumani Mbuttuka akifafanua jambo wakati wa kikao cha pamoja na Kamishna wa Maadili katika Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Mstaafu Harold Nsekela , kujadili namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya ofisi hizo. Kikao hicho kilifanyika jana Juni 18, 2020 katika Ofisi za Msajili wa Hazina, Jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha za miradi zarejeshwa Hazina

JUMLA ya sh 188,405,740,589 sawa na asilimia 55 ya fedha zilizotolewa na Serikali Kuu kwa shughuli za miradi mbalimbali ya maendeleo katika kipindi cha mwaka 2011 na 2012 zimerudishwa Hazina...

 

9 years ago

Mtanzania

Hazina: Fedha za MCC zitapatikana mwakani

John-CheyoADAM MKWEPU NA JOHANES RESPICHIUS, DAR ES SALAAM

KAMISHNA wa Bajeti wa Wizara ya Fedha, John Cheyo, amesema fedha za msaada za Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) kutoka nchini Marekani zinatarajiwa kupatikana Juni, mwakani.

Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, alipozungumza na waandishi wa habari ikiwa ni siku moja baada ya baadhi ya magazeti, likiwemo gazeti hili, kuripoti kuhusu barua ya MCC ya Novemba 19, mwaka huu, iliyoandikwa kwenda kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Servacius...

 

10 years ago

Habarileo

Aibana Hazina iipatie NEC fedha za BVR

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian LubuvaRAIS Jakaya Kikwete ameagiza Hazina kuhakikisha inaitengea fedha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kazi ya kuandikisha wapiga kura kwa Mfumo wa Teknolojia ya Utambuzi wa Alama za Vidole ‘Biometric Vote Registration’ (BVR) ikamilike kama ilivyopangwa.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aibana Hazina iipatie NEC fedha za BVR

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian LubuvaRAIS Jakaya Kikwete ameagiza Hazina kuhakikisha inaitengea fedha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kazi ya kuandikisha wapiga kura kwa Mfumo wa Teknolojia ya Utambuzi wa Alama za Vidole ‘Biometric Vote Registration’ (BVR) ikamilike kama ilivyopangwa.

 

5 years ago

Michuzi

Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kufanya mkutano wake wa kisheria mwaka wa fedha 2019/2020 jijini dar


MKUTANO WA TUME: Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma, Balozi (mstaafu) Mheshimiwa Daniel Ole Njoolay (katikati) akizungumza wakati wa kikao cha Tume kilichoanza leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Kamishna George Yambesi na kushoto ni Kamishna Immaculate Ngwalle. (Picha na PSC)




 

10 years ago

Michuzi

Rais ateua Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma, Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Kissiok Ole Mbille Lukumay kuwa Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma.

Aidha, Rais Kikwete amemteua Bwana Onesmo Hamis Makombe kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.

Taarifa iliyotolewa Alhamisi, mjini Dar es Salaan na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa maofisa hao wawili ulianza Ijumaa ya Machi 27, 2015.

Kabla ya uteuzi...

 

5 years ago

Michuzi

KUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO



 
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana. 
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani