Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa NEC hii wapinzani wategemee maumivu

NIANZE na kumshukuru Mungu kwa kunilinda katika kipindi chote ambacho nilikuwa mkoani Iringa nikiripoti kampeni na uchaguzi wa Jimbo la Kalenga, uliomalizika Machi 16, mwaka huu. Nimeanza kumshukuru Mungu kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAPINZANI WA AZAM FC WATUA DAR KAMILI JIONI HII TAYARI KWA MECHI JUMAPILI

Na Bin Zubeiry Ferroviario wakiwa mbele ya basi la Azam FC liliwapokea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam. Azam inacheza kwa mara ya pili mwaka huu michuano hiyo ya Shirikisho, baada ya mwaka jana kutolewa hatua ya 16 Bora na AS FAR Rabat ya Morocco, ikiwa chini ya kocha Muingereza, Stewart John Hall, aliyejiuzulu Novemba mwaka jana na nafasi yake kuchukuliwa na Mcameroon, Joseph Marius Omog.   Azam imekuwa kambini katika hosteli zake za kisasa zilizopo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yakwaza wapinzani

VYAMA vya upinzani vimepinga teknolojia mpya ya Biometric Voter Registration (BVR), itakayotumiwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura...

 

10 years ago

Habarileo

Wapinzani waomba NEC iongezewe fedha

Katibu wa NCCR-Mageuzi, Mosena NyambabeVYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeitaka serikali kuelekeza nguvu na kuongeza fedha kwenye Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) iweze kukamilisha uandikishaji wapiga kura kwa ufanisi.

 

10 years ago

Habarileo

NEC CCM kukutana Dodoma wiki hii

SIKU chache baada ya kumalizika kwa Bunge Maalumu la Katiba, macho na masikio ya wakazi wa mkoani hapa yanatarajiwa kuhamia katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) itakayofanya vikao vyake mjini hapa mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunapouanza mwaka mpya kwa maumivu ya kujitakia

NIMEPIGIWA simu nyingi na kuandikiwa ujumbe wa maandishi na baadhi ya watu waliosoma makala yangu Jumatano wiki iliyopita, iliyokuwa ikijadili namna mbunge wa CCM alivyofanya dhihaka katika msiba. Naambiwa wananchi...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME

TATIZO hili huwakumba watu wengi kwenye jamii lakini kwa bahati mbaya wengi huchukulia ni jambo la kawaida kitu ambacho baadaye husababisha baadhi kuingia kwenye matatizo makubwa ya kiafya hasa kwenye mfumo wa uzazi na mfumo wa chakula. Maumivu chini ya kitovu hutokea kama ifuatavyo: Yapo yale ya chini ya kitovu katikati, kushoto na kulia. Kwa wanawake maumivu ya kushoto na kulia yapo ya aina mbili. Kuna yale ambayo yanakuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamaja: Naishi na maumivu makali kwa miaka 34

Kocha wa Prisons, David Mwamaja ana mwonekano tofauti na makocha wengine wa Ligi Kuu Bara kutokana na mwili mkubwa alionao.

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA WANAUME-3

WIKI iliyopita niliishia kwenye maelezo kuwa secondary dysmenorhea huwakumba akina mama ambao tayari wameshajifungua mtoto mmoja au zaidi lakini wanapatwa na maumivu makali wakati wa hedhi jambo ambalo hawakuwa nalo siku za nyuma. Wiki hii namalizia kwa kusema kuwa hali hii huchangiwa na mambo mengi ikiwemo tatizo la kuwa na uvimbe kwenye mji wa mimba unaoitwa mayoma au fibroid, kuvimba kwa mji wa mimba pamoja na mirija ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa Marekani waeleza kusikitishwa kwa kukamatwa kwa wapinzani na kufungiwa gazeti Tanzania

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa tamko la kusikitishwa na walichokiita hatua za serikali ya Tanzania kuminya demokrasia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani