Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunapouanza mwaka mpya kwa maumivu ya kujitakia

NIMEPIGIWA simu nyingi na kuandikiwa ujumbe wa maandishi na baadhi ya watu waliosoma makala yangu Jumatano wiki iliyopita, iliyokuwa ikijadili namna mbunge wa CCM alivyofanya dhihaka katika msiba. Naambiwa wananchi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HEPAUTWA:NAFAHAMU MAUMIVU YALIYOTOKEA KWA WANA CCM BAADA YA KUICHAGUA CHADEMA UCHAGUZI WA MWAKA 2010

Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa mjini Iringa, Nuru Hepautwa akizungumza jambo kwenye moja ya mkutano wa chama
Na Friday Simbaya, Iringa
KADA maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa mjini Iringa, Nuru Hepautwa amesema anafahamu maumivu yaliyotokea kwa wana CCM baada ya kuachia jimbo hilo mikononi mwa Chadema katika uchaguzi wa mwaka 2010 lakini akaahidi kuyamaliza endapo atapewa ridhaa hiyo.
Hepautwa ambaye pia ni mfadhili wa mashindano ya soka yaliyojizolea umaarufu mjini Iringa ya...

 

9 years ago

MillardAyo

Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 …

Mtu wangu wa nguvu najua tunaelekea kuuaga mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016. Kaabla ya kumalizika mwaka 2015 naomba nikusogezee video ya matukio ya kuchekesha katika soka yaliyotokea kwa mwaka 2015. Katika hii video kuna matukio ya Pep Guardiola na Frank Ribery. Jamaa kumbiss Zlatan Ibrahimovic. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]

The post Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania

Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January 3. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 […]

The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa kutazama mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3…

Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 na […]

The post Anza weekend yako ya mwaka mpya kwa mechi 21 kali za kuvutia, kwa Tanzania, Uingereza na Hispania Jan 2 na 3… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kwa Picha: Mwaka Mpya 2016

Sherehe za kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016.

 

10 years ago

GPL

UMEJITATHMINI KIMAPENZI KWA MWAKA MPYA?

Heri ya Mwaka Mpya! Mimi na wewe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuumaliza salama mwaka 2014 na kuuanza mwaka mpya wa 2015. Najua wapo wengi ambao walitamani kuuona mwaka huu lakini kwa namna moja au nyingine, wakashindwa. Karibu tena tujadili mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Njia nzuri ya kuuanza mwaka mpya, ni kupata muda wa kukaa na kutathmini nyendo zako na mambo yote yaliyotokea katika maisha yako...

 

10 years ago

Mwananchi

Anza mwaka kwa mwonekano mpya

Mwaka unapomalizika, wengi huwa na matarajio makubwa hasa kubadilisha mfumo wa maisha kuendana na mabadiliko ya mwaka, lakini, pamoja na hayo, wapo wanaoona kuwa hakuna haja ya kufanya hivyo wakiamini, wanachotaka kufanya hakihitaji mabadiliko.

 

9 years ago

Global Publishers

Mwaka mpya, tujenge nchi kwa pamoja

nyerereIjumaa ijayo Watanzania wote tunaingia Mwaka Mpya wa 2016. Kwangu binafsi mwaka 2015 umekuwa wa bahati mbaya ya kukumbwa na balaa baada ya kampuni yetu kupoteza wafanyakazi wawili, Robert Tillya na Haruni Sanchawa, hakika yalikuwa mapigo mazito lakini hayo yote mimi na wenzangu tunamuachia Mungu.

Ndugu zangu,
Kwangu mwaka 2016 nadhamiria uwe ni wa kusonga mbele kwa kila Mtanzania. Na ningependa sote tuwe na dhamira hiyo ya kusonga mbele kama watu binafsi na kama taifa. Tutangulize zaidi...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi kufanya doria kwa helikopta Mwaka Mpya

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaPOLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam imetangaza leo kufanya doria kwa kutumia helikopta ili kuangalia hali ya usalama katika jiji hilo katika sikukuu ya Mwaka Mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani