Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYANZA: Mbunge aomba BMC iongezewe bajeti

Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula amemuomba Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kuishawishi Serikali kuitengea bajeti Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC) kwa asilimia 100 ili kuboresha huduma zake kwa wananchi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mbunge aomba wadau kujenga ‘mochari’ Chalinze

MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ridhiwani Kikwete, amewaomba wadau wa afya ndani na nje ya mkoa huo kujenga chumba cha kuhifadhia maiti kwenye vituo vya afya kwenye jimbo hilo, kwani hakuna kituo cha afya chenye huduma hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge aomba chakula cha msaada Kwimba

WILAYA ya Kwimba inakabiliwa na njaa, hali ambayo mbunge wa Sumve , Richard Ndassa ameomba Serikali kuwaletea wananchi chakula cha msaada.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM


Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi aya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge wa Jimbo la Ole.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge azilipua wizara zilizovuka bajeti iliyotengwa

Mbunge wa Pangani (CCM), Saleh Pamba amezilipua wizara tatu kwa kutumia fedha zaidi ya bajeti iliyotengewa ikiwamo Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ambayo ilitengewa Sh35 bilioni lakini ikatumia Sh154 bilioni.

 

10 years ago

Habarileo

Wapinzani waomba NEC iongezewe fedha

Katibu wa NCCR-Mageuzi, Mosena NyambabeVYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeitaka serikali kuelekeza nguvu na kuongeza fedha kwenye Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) iweze kukamilisha uandikishaji wapiga kura kwa ufanisi.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE RITA KABATI AOMBA USHURU WA MAZIWA KUTOKA NJE YA NCHI UONGEZWE ILI KULINDA VIWANDA VYA NDANI

MBUNGE wa Viti Maalum mkoa wa Iringa, Rita Kabati ameiomba Serikali kuongeza kodi ya ushuru wa bidhaa ya maziwa kutoka nje ili kulinda viwanda vya ndani.

Aidha, Kabati ameipongeza Kampuni ya Kuzalisha Maziwa ya ASAS ya mjini Iringa kwa kutumia fursa ya kuongeza ushuru wa bidhaa kwa kuzalisha maziwa mengi.

Kabati ametoa ombi na pongezi hizo Bungeni jiini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Waziri wa Luhaga Mpina.

Mbunge huyo wa Viti Maalum alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014

>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo

>Miundombinu ya usafirishaji ni muhimu kwa maendeleo ya uchumi wa nchi yoyote. Miundombinu hii ni pamoja na barabara, madaraja, viwanja vya ndege, reli, bandari na nyinginezo. Kiuchumi, hii ni miundombinu migumu (hard infrastructure) ukilinganisha na miundombinu kama ya mawasiliano ikiwamo simu na intaneti ambayo ni miundombinu laini (soft infrastructure) ya kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani