NYANZA: Mbunge aomba BMC iongezewe bajeti
Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula amemuomba Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kuishawishi Serikali kuitengea bajeti Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC) kwa asilimia 100 ili kuboresha huduma zake kwa wananchi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Dec
Mbunge aomba wadau kujenga ‘mochari’ Chalinze
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ridhiwani Kikwete, amewaomba wadau wa afya ndani na nje ya mkoa huo kujenga chumba cha kuhifadhia maiti kwenye vituo vya afya kwenye jimbo hilo, kwani hakuna kituo cha afya chenye huduma hiyo.
10 years ago
Habarileo27 Jun
Mbunge aomba chakula cha msaada Kwimba
WILAYA ya Kwimba inakabiliwa na njaa, hali ambayo mbunge wa Sumve , Richard Ndassa ameomba Serikali kuwaletea wananchi chakula cha msaada.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s72-c/5R7A2733AA-768x512.jpg)
MBUNGE MWINGINE WA JIMBO LA OLE KWA TIKETI YA CUF AOMBA KUJIUNGA NA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-8Ad1nkQkXKc/Xl7Bk24GRKI/AAAAAAALgzA/F3yjIVVtXAIbtUnmGJgF38MuEU4EMtT8wCLcBGAsYHQ/s640/5R7A2733AA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/5R7A2801AA-1024x682.jpg)
Akiwa katika Mkutano Mkuu wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba Zanzibar Ndugu Humphrey Polepole amepokea maombi aya kujiunga na CCM ya Mbunge mwingine wa CUF Ndugu Juma Hamad Omari Mbunge wa Jimbo la Ole.
10 years ago
Mwananchi29 Mar
Mbunge azilipua wizara zilizovuka bajeti iliyotengwa
10 years ago
Habarileo26 Feb
Wapinzani waomba NEC iongezewe fedha
VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimeitaka serikali kuelekeza nguvu na kuongeza fedha kwenye Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) iweze kukamilisha uandikishaji wapiga kura kwa ufanisi.
5 years ago
MichuziMBUNGE RITA KABATI AOMBA USHURU WA MAZIWA KUTOKA NJE YA NCHI UONGEZWE ILI KULINDA VIWANDA VYA NDANI
Aidha, Kabati ameipongeza Kampuni ya Kuzalisha Maziwa ya ASAS ya mjini Iringa kwa kutumia fursa ya kuongeza ushuru wa bidhaa kwa kuzalisha maziwa mengi.
Kabati ametoa ombi na pongezi hizo Bungeni jiini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Waziri wa Luhaga Mpina.
Mbunge huyo wa Viti Maalum alisema...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
10 years ago
Mwananchi02 Jun
UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo