Mbunge aomba wadau kujenga ‘mochari’ Chalinze
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani, Ridhiwani Kikwete, amewaomba wadau wa afya ndani na nje ya mkoa huo kujenga chumba cha kuhifadhia maiti kwenye vituo vya afya kwenye jimbo hilo, kwani hakuna kituo cha afya chenye huduma hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi05 Aug
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg)
Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi wajengewe mzingira mazuri zaidi ya kujisomea lakini...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg?width=650)
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akikata utepe kuzindua maktaba ya shule ya sekondari ya Chalinze jana ambayo imejengwa na Kampuni ya Tanga Cement kupitia bidhaa yake ya Simba Cement kwa kushirikiana na taasisi ya Read International kwa gharama ya shilingi milioni 42 za kitanzania katika kuboresha elimu jimboni humo, Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi...
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
Huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge huyo...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/215.jpg?width=650)
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya vyombo vya ndani na Tende Mzee Ahmad Ramadhan mmoja wa wazee wa kijiji cha Changarikwa wakati alipotoa zawadi hizo kwa familia zenye mahitaji muhimu katika kata ya Mbwewe jana.…
11 years ago
GPL![](https://3.bp.blogspot.com/-lymOQzXlad0/UytOcGvjr1I/AAAAAAAAkq4/53ueCAv0vKo/s1600/1.+Ridhiwani+akiomba+kura+kwa+wananchi+katika+Kijiji+cha+Visakazi,+Kata+ya+Ubena.jpg)
MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE, RIDHIWANI AOMBA KURA KATA YA UBENA
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Jakaya Kikwete, akihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Visakazi, katika kata ya Ubena jana.
Wananchi wa kijiji cha Visakazi wakinyoosha mikono kuonyesha kumuuunga mkono Ridhiwani wakati wa mkutano…
10 years ago
Habarileo27 Jun
Mbunge aomba chakula cha msaada Kwimba
WILAYA ya Kwimba inakabiliwa na njaa, hali ambayo mbunge wa Sumve , Richard Ndassa ameomba Serikali kuwaletea wananchi chakula cha msaada.
9 years ago
Mwananchi20 Dec
NYANZA: Mbunge aomba BMC iongezewe bajeti
Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula amemuomba Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kuishawishi Serikali kuitengea bajeti Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC) kwa asilimia 100 ili kuboresha huduma zake kwa wananchi wa mikoa ya Kanda ya Ziwa.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IlGOo-GCJqc/VZvg7ipehTI/AAAAAAAHnlA/_Lqucac3Tpw/s72-c/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ajiandikisha Msoga
![](http://2.bp.blogspot.com/-IlGOo-GCJqc/VZvg7ipehTI/AAAAAAAHnlA/_Lqucac3Tpw/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9SDinwhoJgY/VZvg781FSXI/AAAAAAAHnlE/Q3cjyq9j3hE/s640/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5Qcf-Qdfo7jdjX5Axwu0fMvAnOsTVJqgPC*SXkpdF94l-AP1CPYl80teIFr-ziSCTpVcmDeDKO-j4bX*V8ekd3sw/13.gif)
MBUNGE WA CHALINZE, SAID BWANAMDOGO (CCM) AFARIKI DUNIA
Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo enzi za uhai wake. Mbunge wa Chalinze, Said Ramadhani Bwanamdogo (CCM), aliyekuwa amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU), katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa (MOI), amefariki…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania