NEC yatakiwa kutowabania wanafunzi, mahabusi
Mtandao wa Kuangalia Chaguzi Tanzania (Tacceo), umeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuweka mwongozo utakaowawezesha wanafunzi, wagonjwa na mahabusi kujiandikisha na kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV12 Oct
Serikali yatakiwa kufikisha Elimu ya uraia kwa wanafunzi vijijini
Serikali na asasi zinazojishughulisha kutoa elimu ya uraia kuhusu masuala ya upigaji kura wametakiwa kuyafikia makundi ya wanafunzi wa sekondari waliofikisha umri wa kupiga kura pamoja na wakazi walio maeneo ya vijijini ili waweze kupiga kura kwa usahihi.
Elimu hiyo inahusu namna ya kuzingatia taratibu ndani ya chumba cha kupigia kura ikiwa na nia ya kuzuia uharibifu wa kura unaoweza kutokea kwa kukosa elimu ya namna hiyo.
Wakizungumza wakati wakitoa elimu ya jinsi ya kupiga kura katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
BODI YA MIKOPO YATAKIWA KUWA TAYARI KUTOA MIKOPO KWA WANAFUNZI PINDI VYUO VITAKAPOFUNGULIWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HrE0xTSBKMI/XsKDt6lzxOI/AAAAAAALqqM/4ZkT6hz8kXMThidQq08N3oy4vOEgRoUCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.31.43%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0oHVA2UbJjY/XsKDtaBJVtI/AAAAAAALqqI/MYmvXNWfSuwiEzqd-KE1pvfhLbD7QQYGwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.03%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZorMRMpkxok/XsKDugAyI6I/AAAAAAALqqQ/ZOLUe0pbRl0cMunDKQwEcuLriC0jUDSeQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-18%2Bat%2B3.32.22%2BPM.jpeg)
9 years ago
Mtanzania07 Oct
Lowassa ataka NEC imalize utata wa wanafunzi
NA FREDY AZZAH, MWANGA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumaliza utata wa wapi wanafunzi wa vyuo vikuu watapigia kura kwa vile hiyo ni haki yao ya msingi.
Kwa sasa kuna utata kama wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wengi wako likizo wataruhusiwa kupigia kura popote walipo au mpaka warudi vyuoni walikojiandikishia.
“Naomba NEC itafakari upya suala hili, ihakikishe wanafunzi wanapiga kura kwa kuwa ni haki yao ya...
11 years ago
Mwananchi29 May
Mwenge ‘wazuia’ mahabusi Mbeya
11 years ago
Dewji Blog13 Aug
Mahabusi ya watoto Tanga kupatiwa fedha
Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Nsachris Mwamwaja akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kuhusiana na habari iliyochapishwa na gazeti la Majira toleo Na. 7524 Vol.II/5624 la Jumatano Agosti 13, mwaka huu yenye kichwa cha habari “Mahabusu ya watoto yadaiwa mil. 1/=”. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) Frank Mvungi. (Picha na Maktaba).
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Serikali imetenga fedha zitagawiwa kwenye vituo vyote vinavyotoa ushauri nasaha na kurekebisha watoto...
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mahabusi afia mikononi mwa polisi kwa kipigo
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Atupwa mahabusi kwa kuvuta sigara eneo la mahakama
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
9 years ago
Michuzi02 Nov
HAFLA YA JUMUIYA YA WANAFUNZI WA TANZANIA WUHAN-CHINA (WUTASA) KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2015/16
![1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/sX2k0-AXtQ4aqN4w8oa3pcb7KodDnKJmBW78-JVO_gTvSHGlxm_h3GWBHhuR7mjPEtFgtimAwI1Jr_-9cyeeQDZBH602YtYafUfEvUGGl9ym7Z8sUw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/1.jpg)
![2](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/V-HLiJ3GVxkskmh-ybRWanHt_PCSEufwdmoSCPGIt8t8PsJ1abhh4XMs-e6rZWnoQfHhOSePBceuwzP4I5_XriEo-GVjyAw2tnjgfVlPxf8SHc8mVg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/2.jpg)
![3](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Xs6vkqYfkDjUxVodrOcbdtn6KsNJuHUR7h8DZe4reSkd3kNC-EyKY4460IL1JV-vAMhK7EvNznYDZwXDSJg-sUy_4E-JdbjciSsgijKzda5KyEzEKA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/3.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10