Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa ataka NEC imalize utata wa wanafunzi

mtanzania kila siku grace kenethd.inddNA FREDY AZZAH, MWANGA

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumaliza utata wa wapi wanafunzi wa vyuo vikuu watapigia kura kwa vile hiyo ni haki yao ya msingi.

Kwa sasa kuna utata kama wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wengi wako likizo wataruhusiwa kupigia kura popote walipo au mpaka warudi vyuoni walikojiandikishia.

“Naomba NEC itafakari upya suala hili, ihakikishe wanafunzi wanapiga kura kwa kuwa ni haki yao ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

NEC yazidisha utata zabuni ya BVR

TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini (NEC), imezidi kuibua utata kuhusiana na gharama halisi za kupata mzabuni wa kuboresha daftari la kudumu la kupigia kura kwa njia ya kielektroniki, (BVR),...

 

10 years ago

Tanzania Daima

NEC yaongeza utata kura ya maoni 2015

UWEZEKANO wa kufanyika kwa kura ya maoni Aprili 30 mwakani, kama alivyoahidi Rais Jakaya Kikwete ni mdogo, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuthibitisha kwamba itakamilisha kazi ya...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Utata kwa Lowassa

SIKU tatu baada ya kundi la madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Wilaya ya Monduli mkoani Arusha kutangaza kuhama chama hicho na kujiunga Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baadhi yao wamerejea na kuchukua fomu za kugombea udiwani katika kata zao.

Hali hiyo imeendelea kuleta utata mkubwa ndani ya chama hicho, mkoani Arusha kutokana na kutofahamika msimamo wa viongozi na makada maarufu wa chama hicho kuhusu kuhamia upinzani au kubaki ndani ya chama hicho.

Tangu...

 

10 years ago

Mwananchi

Makamba ataka NEC iwe wazi

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuwa wazi kuanzia hatua ya kujiandikisha kupiga kura ili kuepuka malalamiko dhidi ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC yatakiwa kutowabania wanafunzi, mahabusi

Mtandao wa Kuangalia Chaguzi Tanzania (Tacceo), umeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuweka mwongozo utakaowawezesha wanafunzi, wagonjwa na mahabusi kujiandikisha na kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imalize migogoro yake na wafanyabiashara

Mgomo uliofanywa na wafanyabiashara wa maduka katika baadhi ya mikoa nchini kwa siku mbili mfululizo wiki hii umedhihirisha kwamba mgogoro wa siku nyingi kati ya wafanyabiashara hao na Serikali kuhusu matumizi ya mashine za kutolea risiti za elektroniki (EFD), bado haujapata suluhisho la kudumu. 

 

9 years ago

Vijimambo

Nec yamjibu Lowassa.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ( Nec), imesisitiza kuwa inatangaza matokeo kwa kadiri inavyopokea na siyo kwa kupendelea upande wowote au kujali aliyeshinda.

Mwenyekiti wa Nec, Jaji mstaafu Damian Lubuva (pichani), alitoa ufafanuzi huo jijini Dar es Salaam jana baada ya kutangaza matokeo ya urais katika majimbo 35.

Jaji Lubuva alisema madai yaliyotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa wanatangaza matokeo ya maeneo ambayo Chama Cha Mapinduzi kimeshinda ili kuaminisha umma kuwa ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ataka sheria kuwabana wanaowapa mimba wanafunzi

MBUNGE wa Viti Maalumu, Christowaja Mtinda (CHADEMA), ameitaka serikali kuja na sheria nyingine itakayowabana wanaume wanaowapa mimba wanafunzi. Akiuliza swali bungeni jana, alisema sheria ya sasa haina meno na kwamba...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imalize mzozo wa Tunduma kwa amani

Tumepata habari za kusikitisha kutoka Tunduma mkoani Mbeya kwamba, kwa siku tatu mfululizo, mji huo, ambao ni lango la biashara kusini mwa Tanzania, uligeuka uwanja wa mapambano kati ya Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) na makundi ya vijana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani