Serikali imalize mzozo wa Tunduma kwa amani
Tumepata habari za kusikitisha kutoka Tunduma mkoani Mbeya kwamba, kwa siku tatu mfululizo, mji huo, ambao ni lango la biashara kusini mwa Tanzania, uligeuka uwanja wa mapambano kati ya Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) na makundi ya vijana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Serikali imalize migogoro yake na wafanyabiashara
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Serikali,FARC kumaliza mzozo wa Colombia
10 years ago
Dewji Blog17 Dec
RC Arusha awapongeza wadau kwa kufanikisha uchaguzi serikali za mitaa kwa amani
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda akiwa ofisini kwake jijini Arusha.
Na Mahmoud Ahmad, Arusha
MKUU Wa mkoa wa Arusha, Daud Felix Ntibenda (Kijiko), amewapongeza wananchi wa jimbo la Arusha, pamoja na vyombo vya habari na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kufanikisha zoezi la uchaguzi bila ya vurugu wala matukio ya uvunjifu wa Amani .
Mkuu huyo wa mkoa ametoa pongezi hizo leo ofisini kwake alipokuwa akipokea taarifa ya uchaguzi wa marudio wa jiji la Arusha ,uliowasilishwa na...
9 years ago
MichuziSERIKALI YA MKOA WA IRINGA YAPONGEZA MTANDAO WA MATUKIODAIMA KWA KUHAMASISHA AMANI
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Je, kupunguzwa kwa magavana ni suluhisho kwa mzozo wa Sudan Kusini?
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU TAMISEMI AWAASA WANASIASA,WAGOMBEA NA WASHABIKI KUENDESHA KAMPENI KWA AMANI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI Bw. Jumanne Sagini akiongea na waandishi wa habari kuhusu maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Desemba 14 mwaka huu ambapo amesema...
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Suluhu kwa mzozo wa Crimea.
9 years ago
Mtanzania07 Oct
Lowassa ataka NEC imalize utata wa wanafunzi
NA FREDY AZZAH, MWANGA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumaliza utata wa wapi wanafunzi wa vyuo vikuu watapigia kura kwa vile hiyo ni haki yao ya msingi.
Kwa sasa kuna utata kama wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wengi wako likizo wataruhusiwa kupigia kura popote walipo au mpaka warudi vyuoni walikojiandikishia.
“Naomba NEC itafakari upya suala hili, ihakikishe wanafunzi wanapiga kura kwa kuwa ni haki yao ya...
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Matajiri wanafaa kulaumiwa kwa mzozo wa hali ya hewa duniani.