Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suluhu kwa mzozo wa Crimea.

Obama ameitaka Urusi kujua kwamba haitapata usalama na maendeleo kupitia njia ya dhulma baada ya kunyakua jimbo la Crimea.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Je, kupunguzwa kwa magavana ni suluhisho kwa mzozo wa Sudan Kusini?

Hatua ya rais wa Sudan kusini Salva Kiir kupunguza magavana italeta amani ya kudumu?

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imalize mzozo wa Tunduma kwa amani

Tumepata habari za kusikitisha kutoka Tunduma mkoani Mbeya kwamba, kwa siku tatu mfululizo, mji huo, ambao ni lango la biashara kusini mwa Tanzania, uligeuka uwanja wa mapambano kati ya Askari wa Kutuliza Ghasia (FFU) na makundi ya vijana.

 

5 years ago

BBCSwahili

Matajiri wanafaa kulaumiwa kwa mzozo wa hali ya hewa duniani.

Matajiri wanapaswa kulaumiwa kwa mzozo wa hali ya hewa duniani, utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Leeds cha nchi 86 unasema

 

10 years ago

BBCSwahili

Merkel ataka suluhu kwa mazungumzo

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel,amesema historia inatoa funzo la umuhimu wa kupata suluhu ya migogoro kwa njia ya majadiliano.

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea kuugubika mkutano wa G7

Viongozi wa G7 wanatarajiwa kujadili hatua ya Urusi kulinyakua eneo la Crimea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Crimea yapiga kura kuamua

Watu wa Crimea waarifiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura ya maoni kuamua ikiwa wanataka kubaki Ukraine au wajiunge na Urusi

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaimarisha majeshi Crimea

Urusi imeendelea kuimarisha majeshi yake ndani ya jimbo la Crimea linalomilikiwa na UKraine licha ya shinikizo za kidiplomasia dhidi ya kitendo hicho

 

11 years ago

BBCSwahili

UEFA:Hatutambui mechi za Crimea

Shirikisho la soka barani ulaya UEFA limesema halitatambua matokeo yoyote ya mechi itakayochezwa na kilabu ya kandanda ya Crimea

 

11 years ago

Dewji Blog

Suluhu kwa wagonjwa wa Figo na mfumo wa mkojo yapatikana

logo_o_bnr

Watanzania  kunufaika na kile ambacho wachambuzi huona kama nafasi adimu katika sekta ya afya. Hii ni kwasababu nchi inatarajia kupokea wataalamu wawili kutoka taasisi mashuhuri ya matibabu duniani. Kwa kushirikiana na madaktari kutoka hosipitali ya Hindu Mandal. Madaktari kutoka hospitali ya Apollo watahudumia  na kutoa ushauri kwa wagonjwa wa figo na mfumo wa mkojo siku ya Oktoba 10 na Oktoba 11 katika Hospitali ya Hindu Mandal Dar es Salaam.

Watanzania wengi  wenye maradhi hayo hushindwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani