Utata kwa Lowassa
SIKU tatu baada ya kundi la madiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Wilaya ya Monduli mkoani Arusha kutangaza kuhama chama hicho na kujiunga Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baadhi yao wamerejea na kuchukua fomu za kugombea udiwani katika kata zao.
Hali hiyo imeendelea kuleta utata mkubwa ndani ya chama hicho, mkoani Arusha kutokana na kutofahamika msimamo wa viongozi na makada maarufu wa chama hicho kuhusu kuhamia upinzani au kubaki ndani ya chama hicho.
Tangu...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Oct
Lowassa ataka NEC imalize utata wa wanafunzi
NA FREDY AZZAH, MWANGA
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumaliza utata wa wapi wanafunzi wa vyuo vikuu watapigia kura kwa vile hiyo ni haki yao ya msingi.
Kwa sasa kuna utata kama wanafunzi wa vyuo vikuu ambao wengi wako likizo wataruhusiwa kupigia kura popote walipo au mpaka warudi vyuoni walikojiandikishia.
“Naomba NEC itafakari upya suala hili, ihakikishe wanafunzi wanapiga kura kwa kuwa ni haki yao ya...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Utata wa Serikali kwa IPTL
WAKATI Harbinder Sing Sethi, anadai alinunua asilimia 70 ya hisa za Mechmar kwa kiasi cha sh. milioni 500 ($300,000) ndani ya wiki tatu tu tangu hisa hizo kuuzwa kwa kampuni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQJztPvYEO8BtIHnOD347wEbr7SSq1*mkURHWebGooYSR2Wlx-MBqGDBqs6TxvgbuyVoQQ3ADdpTN6BAn6kQgAHj/malaysiaairlinesmh370.jpg?width=650)
UTATA WAZIDI KUPOTEA KWA NDEGE YA MALAYSIA
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Mkimbizi afariki kwa ugonjwa wenye utata
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Utata Kura ya Maoni uangaliwe kwa makini
10 years ago
Mwananchi10 Nov
UTATA: Jalada la kesi ladaiwa kuibiwa kwa msajili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k41DrsBTi75Q9C2R1GVJzG7aU2*hx9MiyE0BDct7VaINaFtF2RhOpwHyOXvDBacqu8DWovViIS2A*AP3iHbzcky/fffffff.gif?width=650)
GARI LA BOZI KWA ALLY NIPISHE LAZUA UTATA
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Kufunguliwa kwa Soko Kuu Moshi kwazua utata
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Pia atwaa taji la Miss Universe kwa utata
![pia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/pia-300x200.jpg)