NEC YATOA ONYO KALI DHIDI YA UKIUKWAJI WA MAADILI KIPINDI HIKI CHA KAMPENI
![](http://3.bp.blogspot.com/--rIF2QsUWbY/Ve3N5NF5eXI/AAAAAAABU44/hWMycF1tV_8/s72-c/Microsoft-Word-TAARIFA-KWA-UMMA.pdf_page_1.bmp)
Kama mnavyofahamu Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani zimeanza tangu tarehe 22 Agosti, 2015 na zinaendelea hadi tarehe 24 Oktoba, 2015.
Ni jambo linaloeleweka kwamba mchakato wa Kampeni na wa Upigaji Kura unatawaliwa au kuongozwa na Sheria, Katiba na Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2015.
Katika kipindi hiki tangu Kampeni zianze, nafurahi kusema kwa niaba ya Tume kuwa kwa ujumla, Kampeni zimeenda vizuri. Karibu mikutano yote imefanyika katika hali...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
NEC yakemea vikali ukiukwaji wa maadili unaofanywa na vyama vya siasa wakati wa kampeni za uchaguzi
Maadili ya Uchaguzi awa Ajili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani na Mwaka 2015
(chini ya Kifungu cha 124A cha Sheria ya Uchaguzi Na. 1 ya mwaka 1985 (sura ya 343)
Sisi Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa pamoja tumekubaliana kuwa na uchaguzi huru, wa haki, uwazi, na wa kuaminika. Na kwamba Amani, Ustawi wa Nchi, Usalama wa Raia, Uhuru wa Vyama vya Siasa na Utii wa Sheria, Kanuni na taratibu za uchaguzi ndio msingi wa...
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Serikali yatoa onyo kali dhidi ya wananchi watakaovamia mgodi wa dhahabu wa Shanta Ikungi
![DSC05010](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC05010.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s320/New%2BPicture.png)
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
LG yatoa punguzo kabambe la bei ya bidhaa zake kipindi hiki cha Ramadhani na Sabasaba
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya MeTL Group, Bi. Fatema Dewji-Jaffer akipokea taarifa ya shughuli mbalimbali zinazoendelea kwenye maonyesho ya 39 ya biashara ya kimataifa maarufu kama “Sabasaba” kwa mmoja wa maafisa wa kampuni ya bidhaa za LG Tanzania ambapo kampuni ya Mohammed Enterprises Limited Tanzania (MeTL) ndio msambazaji rasmi wa bidhaa hiyo nchini kabla ya hafla fupi ya uzinduzi wa friji mpya ya LG yenye milango pacha aina ya “Velvet Gardenia na Coral Irish”.
Mmoja wa...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Polisi yatoa onyo kali Kalenga
JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limepiga marufuku wananchi kuhudhuria mikutano ya kampeni wakiwa na marungu na mapanga, hasa wakati huu wa kampeni za kuwania ubunge katika Jimbo la Kalenga....
11 years ago
BBCSwahili08 Apr
Urusi yatoa onyo kali kwa Ukraine
9 years ago
Mwananchi09 Sep
NEC yatoa onyo kwa Lowassa kuhusu udini
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha Bibi Bomba na njia panda
Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph Mapunda na Walter Bugoya.(Picha kwa hisani ya Innocent Mungy wa TCRA).
Rulling Clouds Fm Radio by moblog
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4RV7Gh9k9Cw/Uv3cQSt6d2I/AAAAAAAFNF0/YBX-yz4vBKw/s72-c/CBE+-+3.jpg)
CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA KAMPASI YA DAR CHAENDELEA KUFANYA VIZURI, CHAWEKA MIFUMO YA KISASA YA KUFUATILIA KUDHIBITI UKIUKWAJI WA MAADILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-4RV7Gh9k9Cw/Uv3cQSt6d2I/AAAAAAAFNF0/YBX-yz4vBKw/s1600/CBE+-+3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bFcQFijJEng/Uv3cXxZRbxI/AAAAAAAFNGE/hMMZ9lkCNF8/s1600/Cbe+-+4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HsZRlYxD3Go/Uv3cPeGJwNI/AAAAAAAFNFs/sMV_R9tsFfQ/s1600/CBE+-+1.jpg)