NEEC kutoa dhamana ya mamilioni kwa Benki ya Posta
![](http://3.bp.blogspot.com/--F_LwcAD61c/VaeN2SuHZuI/AAAAAAAHqDg/qkIYALUMzA4/s72-c/0c20eb3d8aL.jpg)
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) linatarajia kutoa shilingi milioni 700 kwa Benki ya Posta Tanzania kama dhamana ya mikopo itakayotolewa na benki hiyo kwa wajasiriamali hapa nchni.
Mpango huu uko chini ya Mfuko wa Taifa wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ulioanzishwa mwaka 2008 ambao pamoja na majukumu mengine unatumika kutoa au kudhamini mikopo yenye masharti nafuu kwa wajasiriamali nchini.
Fedha hizo zitawekwa katika akaunti maalum katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fq7bGbPluSE/Vn-Gte9l_SI/AAAAAAAIO0o/TfhuPvGFMRw/s72-c/438b61b1-5bb7-44c3-b033-163f4f528547.jpg)
NEEC yawadhamini wajasiriamali 185 milioni 244.5 Benki ya posta
10 years ago
VijimamboTIB KUTOA MIKOPO KWA VIJANA; ZOEZI KURATIBIWA NA BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI (NEEC)
Katika makubaliano hayo TIB itatoa mikopo hiyo ambapo kwa kuanzia kiasi cha shilingi bilioni 1 kimetengwa kwa ajili ya mpango huo utakaoratibiwa na NEEC ambayo itakuwa na jukumu la kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana hao ikiwa ni pamoja na kusaidia namna ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNQUKt76SdYmIE34ekKQ1ZcNpod8AIpjKotOkbT96ssBEvK6Ygpm0JiJRAr1PvqXIOXaQuHceCx3-THEIcVC75fW/AdamMayingu.jpg?width=650)
PSPF, BENKI YA POSTA WAZINDUA HUDUMA YA MKOPO KWA WASTAAFU
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s72-c/si1.jpg)
benki ya posta YAZINDUA KADI ZA AKAUNTI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI wa SIMBA NA YANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2gmXdC3U0uk/U4hu0GHrCII/AAAAAAAFme0/BAZTBfKFv-s/s1600/si1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ud_kIEDbWPw/U4hu0fRzQLI/AAAAAAAFme4/MUL5cqpBRZo/s1600/si2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4HjcdkP3ogc/VoTWsXxSCII/AAAAAAADEXs/kiCvWXqOOlk/s72-c/8d3fExim-Bank-Tanzania.jpg)
Benki ya Exim yafunga mauzo ya dhamana yake kwa mafanikio makubwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4HjcdkP3ogc/VoTWsXxSCII/AAAAAAADEXs/kiCvWXqOOlk/s320/8d3fExim-Bank-Tanzania.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PKVubrnhlRI/VUDToBUe5aI/AAAAAAAAdHM/odW17ol-yJk/s72-c/1.jpg)
BENKI YA POSTA YAJIVUNIA UTENDAJI BORA KWA MWAKA 2014 ULIYOIPA FAIDA NONO
![](http://3.bp.blogspot.com/-PKVubrnhlRI/VUDToBUe5aI/AAAAAAAAdHM/odW17ol-yJk/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JXMBMrmkmug/VUDToRQWKQI/AAAAAAAAdHQ/9C0c2fb3wJE/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TNcxR7reAwQ/VFJDx-SgsII/AAAAAAAGuPA/ot7KAV10JYE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mbeya City FC wakabidhiwa Kadi maalum kwa wapenzi wa timu hiyo kutoka Benki ya Posta
![](http://3.bp.blogspot.com/-TNcxR7reAwQ/VFJDx-SgsII/AAAAAAAGuPA/ot7KAV10JYE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/udqKvOQQNZzwSmb44S-PMmrwV8Xf2sJkr3PqN5Y7s9ISoBci2nuJ9ogl9d-Kc70FP5yHBBeom3aKPjQXgAvJD6ptj-JxklHL/sugeknight435.jpg?width=650)
SUGE KNIGHT AANGUKA MAHAKAMANI BAADA YA KUTAKIWA KUTOA SHILINGI BILIONI 45 KWA AJILI YA DHAMANA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9tLGlPLNoGM/U13xKXuKCsI/AAAAAAAATa0/zjb5Dl3ZQcA/s72-c/YBY_8051.jpg)
BENKI YA POSTA TANZANIA YATOA MSAADA VITU MBALIMBALI KWA WODI YA WATOTO WENYE MAGONJWA YA SARATANI MUHIMBILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9tLGlPLNoGM/U13xKXuKCsI/AAAAAAAATa0/zjb5Dl3ZQcA/s1600/YBY_8051.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AxK_2AroDg8/U13xKXtE5zI/AAAAAAAATaw/hDpUlT9b1Fk/s1600/YBY_8058.jpg)